Sawa babu,tuassume xmume yuko innocent. Makosa aliyoyatenda mkewe yanapaswa kumzuia yeye kuhudumia watoto wake? Kama siyo kwa nini hakufanya ivo huko nyuma?kwa nini anawataka sa izi kama sio kutaka kumharibia tu mwenzie amani?
Karibu na again pole sana ndiyo maisha dada, hayana budi kuwa na misukosuko kinachotakiwa ni kusimama imara.😛ray2:Asante sana kwa kuguswa na tatizo langu , pia nashukuru sana kwa kunitia moyo. nitakaa kimya kwanza ili yeye aanze kwenda mahakamani , nimeshapata mwanasheria ameniambia nisubiri kwanza aanze , halafu hata nyumba tuliyojenga itabidi iuzwe na aanze kutoa matunzo ya watoto. nafikiri atajuta kunianza.
Nashururu sana wana JF wote mlioguswa na tatizo langu.
Objectionable Assumptions. Bado natetea haki za kusikilizwa huyo baba.
Hizi cross examinations, kwa sasa zina base kwenye preconceived convictions.