Lizy okay nimeshafuta hiyo kauli bt kama kuna ukwel basi hauwez kubadilika! Thus y nipo hapa kutafuta ukweli, thnx kwa ushaur wako n' be blessedWala sijamtetea ila nakufungua wewe macho!Hayo maswala ya ngumu kuacha siyajui maana binafsi sijawahi kuona ugumu wake.Mpaka ashindwe kumuacha mtu ambae hata uhakika wa kama anampenda hana ujue yeye anampenda sana!Nwyz kwa mara nyingine uondoe kauli kabla stimu za kuchangia hazijaisha maana "BAADHI" yetu tunachukia generolaizeshen!
what do u mean? how old are umm naona hii ndio mwisho ctakuja kupenda tena,najuta kwa nn nimevunja nadhiri yangu niliyoapa hapo mwanzo.
Hata hawa girls wawili wa mwanzo walinitenda na niliwaambia live kuwa kuna cku watakuja kunikumbuka na kweli later mmoja alirudi na kutaka turudiane bt nikakataa, mwingine mpaka sasa anajuta, kwa kawaida nikipenda napenda haswa tena kwa moyo wangu wote.
Bishanga ndio na try now bt kwa jinsi ninavyo mfeel ndio nazidi kupata maumivu,kuna mdau kanishaur niachane nae kwa muda then nivumilie tu kwanza mpaka dem atakap clean na kukubal kumuacha huyo school lover wake ndio niwe nae rasmi bt dah hapa ni kusubir kitu kisichokua na uhakika!Peace run run run yaani mkimbie fasta kuliko hata Filbert Bayi enzi zake!!!!kimbiia!
what do u mean? how old are u
Kaka pole sana kwa yaliyokukuta, before I jump to the conclusion; huyu dada alikuzungusha sana nafikiri ile ilikuwa ni sign ya kukwambia kwamba ana mwingine hakuwa radhi kumwacha. "Unajua jamani wanawake na wanaume" naomba tujifunze kusoma alama za nyakati kwa wale tunaowahitaji, tulionao tayari au tunaotegemea kuwatafuta. Lazima uwe na msimamo wa maisha yako kwenye mapenzi na yule unayetegemea kumpenda.
Tusiwe ving'ang'nizi pasipo sababu. Kaka sitaki kujua umri wako, naomba kuanzia sasa ukue na uwe na uelewa wa mtu wa NDIYO au HAPANA. Haina sababu ya kukupa moyo hapa eti uvumilie utakuwa unatenda dhambi which end of he day utahukumiwa wewe. Imagine mtu kakwambia ana bwana yake wewe unaanza kulazimishia penzi huoni wewe unakasoro au unataka mwenzio atende dhambi ambayo hakutarajia kuifanya.
Mimi ni mwanamke ila tuna kasoro moja, penye ndiyo huwa tunaweka hapana, na penye uongo ndiyo tunakaa kwa muda mrefu tukisubiri miujiza itendeke. Huyo dada hana tofauti na kina ABLAKADABLA au kwa lugha nyingine MWANA MAZINGAOMBWE. Acha kutojiamini na kukata tamaa. Acha kujiona wewe una mikosi ni mambo ya kizamani kwanza siamini kwamba kuna mikosi. Unakuwa umekutana na wrong number. SOMA ALAMA ZA NYAKATI na wanawake unaokutana nao, na wapi UMEKUTANA NAO. Usitegemee product ya kike ya BAA, DISCO, au kwenye DALA DALA umekula wa chuya. Kaa tulia, jenga KUJIAMINI.
Pole na CHAPA MWENDO, Mungu anakuepusha na mambo mengi.
mkuu ni watoto wa chuo hawa..
Hapa anaongea tu kwa sababu anamuona kila siku bwenini.. Hajui maisha ya mtaani ndo headache kabisa.. huyo unayempenda anaweza kuchukuliwa mbele yako maofisini huko..
kwa hiyo tulia tu, komaa na shule. Mara nyingi kupenda inakuja kwa coincidence tu.(hupangi kumpenda mtu, inatokea tu)
Tengeneza GPA kijana
mm naona hii ndio mwisho ctakuja kupenda tena,najuta kwa nn nimevunja nadhiri yangu niliyoapa hapo mwanzo.
Hata hawa girls wawili wa mwanzo walinitenda na niliwaambia live kuwa kuna cku watakuja kunikumbuka na kweli later mmoja alirudi na kutaka turudiane bt nikakataa, mwingine mpaka sasa anajuta, kwa kawaida nikipenda napenda haswa tena kwa moyo wangu wote.
Ennie thanx, thanx wote mliotoa ushauri hapa,nakubaliana na mapendekezo yenu!asante kwa wote mlionipa matumaini,anyway inabidi nisonge mbele!You sound so sad but please dont be. Huyo bint tupa kule na mungu atakupa mke anayekufaa. Utakuja kupenda tena tu.
nilipo soma tu nilichotaka kusema, bahati nzuri karibia kila post inakizungumzia so nothing more to add! zaidi ya kusema
"ukitaka nzi wasikufuate tupa furushi la mavi uliloshika"
Ndugu yangu jambo hili c dogo, ni ugonjwa kama kichaa au kukosa usingizi mwisho ni ukichaa, kama kweli ameona akuweke wazi walahi hakupendi, chukulia ww ungekuwa na gf ukampata mwingine unamwambia huyo mpya kuwa ninamwingine, atakuuliza sasa mimi wa nini? c uendelee na huyo?mkuu haya mambo ya mapenzi hayana formula. sometimes hayako straight forward.
Ukichukulia kila mtu ana matarajia yake kwenye mahusiano, kwa hiyo complexity inaongezeka
Usikate tamaa kirahisi hivyo. Kuwa mvumilivu tu. Baada ya muda mambo yatajipa.
Umeambwa kwa ajili ya binti mmoja tu..jiamini, mambo yatakaa sawa tu.