Naomba ushauri

Lizy okay nimeshafuta hiyo kauli bt kama kuna ukwel basi hauwez kubadilika! Thus y nipo hapa kutafuta ukweli, thnx kwa ushaur wako n' be blessed
 
Peace run run run yaani mkimbie fasta kuliko hata Filbert Bayi enzi zake!!!!kimbiia!
 
what do u mean? how old are u
 
Peace run run run yaani mkimbie fasta kuliko hata Filbert Bayi enzi zake!!!!kimbiia!
Bishanga ndio na try now bt kwa jinsi ninavyo mfeel ndio nazidi kupata maumivu,kuna mdau kanishaur niachane nae kwa muda then nivumilie tu kwanza mpaka dem atakap clean na kukubal kumuacha huyo school lover wake ndio niwe nae rasmi bt dah hapa ni kusubir kitu kisichokua na uhakika!
 
afadhali umeyafahamu hayo mwanzo kimbia zaid ya unavyoweza
 
what do u mean? how old are u

mkuu ni watoto wa chuo hawa..

Hapa anaongea tu kwa sababu anamuona kila siku bwenini.. Hajui maisha ya mtaani ndo headache kabisa.. huyo unayempenda anaweza kuchukuliwa mbele yako maofisini huko..
kwa hiyo tulia tu, komaa na shule. Mara nyingi kupenda inakuja kwa coincidence tu.(hupangi kumpenda mtu, inatokea tu)

Tengeneza GPA kijana
 
Kaka pole sana kwa yaliyokukuta, before I jump to the conclusion; huyu dada alikuzungusha sana nafikiri ile ilikuwa ni sign ya kukwambia kwamba ana mwingine hakuwa radhi kumwacha. "Unajua jamani wanawake na wanaume" naomba tujifunze kusoma alama za nyakati kwa wale tunaowahitaji, tulionao tayari au tunaotegemea kuwatafuta. Lazima uwe na msimamo wa maisha yako kwenye mapenzi na yule unayetegemea kumpenda.

Tusiwe ving'ang'nizi pasipo sababu. Kaka sitaki kujua umri wako, naomba kuanzia sasa ukue na uwe na uelewa wa mtu wa NDIYO au HAPANA. Haina sababu ya kukupa moyo hapa eti uvumilie utakuwa unatenda dhambi which end of he day utahukumiwa wewe. Imagine mtu kakwambia ana bwana yake wewe unaanza kulazimishia penzi huoni wewe unakasoro au unataka mwenzio atende dhambi ambayo hakutarajia kuifanya.

Mimi ni mwanamke ila tuna kasoro moja, penye ndiyo huwa tunaweka hapana, na penye uongo ndiyo tunakaa kwa muda mrefu tukisubiri miujiza itendeke. Huyo dada hana tofauti na kina ABLAKADABLA au kwa lugha nyingine MWANA MAZINGAOMBWE. Acha kutojiamini na kukata tamaa. Acha kujiona wewe una mikosi ni mambo ya kizamani kwanza siamini kwamba kuna mikosi. Unakuwa umekutana na wrong number. SOMA ALAMA ZA NYAKATI na wanawake unaokutana nao, na wapi UMEKUTANA NAO. Usitegemee product ya kike ya BAA, DISCO, au kwenye DALA DALA umekula wa chuya. Kaa tulia, jenga KUJIAMINI.

Pole na CHAPA MWENDO, Mungu anakuepusha na mambo mengi.
 
Hao wanawake mavicheche unakumbana nao wewe tu kwanini? Ushauri wangu, we unadhani kila mwanamke unaemwona anakufaa kwa hisia tu. Fikiria kuwa mtu kakuambia hawezi kuachana na mtu wake wa zamani, we unajifanya unajua kupenda saaaaana!! Ndg yangu, hebu thamin maisha yako na uachane na huyo mdada haraka iwezekanavyo. Umesema kua mlienda kupima ukakuta mko negative. Kama utashupaza shingo ukapuuza ushauri watu walokupa, usishangae ukarudi kupima ukakuta umeunganishwa na gridi ya Taifa. (sikuombei matokeo yawe mabaya, Mungu akuepushe). Kijana, kama uko serious kuwa unataka "Mke", sio "mwanamke", mshirikishe Mungu. Mke mwema anatoka kwa Mungu, na ukimwomba Mungu utampata unaemtaka. Wapo wadada wazuri, wenye heshima, wanaojua thamani ya Mume, nawe ukitulia na kumwomba Mungu utampata wa design hii, believe me. All the best, ucjitetee sana eti kuwa unampenda. Kwanza una umri gani unachanganyikiwa namna hii, hujachelewa hata kidogo.
 

Ushauri umetulia huu Caroline.
 

Good! Tengeneza GPA. Nimeipenda sana hii.
 

You sound so sad but please dont be. Huyo bint tupa kule na mungu atakupa mke anayekufaa. Utakuja kupenda tena tu.
 
You sound so sad but please dont be. Huyo bint tupa kule na mungu atakupa mke anayekufaa. Utakuja kupenda tena tu.
Ennie thanx, thanx wote mliotoa ushauri hapa,nakubaliana na mapendekezo yenu!asante kwa wote mlionipa matumaini,anyway inabidi nisonge mbele!
 
Huyo mdada achague moja. Atanyoaje na kusuka kwa wakati mmoja.
Huku amekaa huku amesimama...alaaaaaaa!
Nikupe siri moja we peacefiyk?
 
Mkuu kwa mtazamo wangu naona umewekwa pending.. Tena mshukuru sana huyo Dada kwa kuwa muwazi, kisha chapa Lapa.....
 
Huyo mdada achague moja. Atanyoaje na kusuka kwa wakati mmoja.
Huku amekaa huku amesimama...alaaaaaaa!
Nikupe siri moja we peacefiyk?
yap man nipe tu wrry out
 
nilipo soma tu nilichotaka kusema, bahati nzuri karibia kila post inakizungumzia so nothing more to add! zaidi ya kusema

"ukitaka nzi wasikufuate tupa furushi la mavi uliloshika"
 
nilipo soma tu nilichotaka kusema, bahati nzuri karibia kila post inakizungumzia so nothing more to add! zaidi ya kusema

"ukitaka nzi wasikufuate tupa furushi la mavi uliloshika"

Aisee we Susy............!!!
 
nilipo soma tu nilichotaka kusema, bahati nzuri karibia kila post inakizungumzia so nothing more to add! zaidi ya kusema

"ukitaka nzi wasikufuate tupa furushi la mavi uliloshika"
suzy lol.....
 
Kwa jinsi ulivyoeleza huyo dada hakupendi kabisa
bali anakuonea huruma
ushauri wa Susy unakufaa
wala usirudirudi nyuma huyo sio mkeo
ukimwoa utajuta kumfahamu
 
Ndugu yangu jambo hili c dogo, ni ugonjwa kama kichaa au kukosa usingizi mwisho ni ukichaa, kama kweli ameona akuweke wazi walahi hakupendi, chukulia ww ungekuwa na gf ukampata mwingine unamwambia huyo mpya kuwa ninamwingine, atakuuliza sasa mimi wa nini? c uendelee na huyo?
you better loose one kilometa of love than loosing the whole sea love. You haven't gone far, she told you so as you have to pay attention, n' whenever you see her don't ask her any question, c mapenzi. Ukweli na uwazi nadhani ndiyo mfumo pekee ambao hauta kuja kwisha vichwani mwa watu.
Km hata mwacha pls don't blast yourself in future leave n run 4 ur good health and good future, je ukimng'ang'ania akija kukukana kuwa hakujui mara mtakapokutwa pamoja? angekuwa ameolewa ningelewa lkn single hakupendi kabisa haya yangemuuma mwenyewe na kuamua chakufanya kuwa na ww au kuwa na yule lkn c kukuambia ili kuonyesha anakupenda kumbe ni ndumila kuwili.
HAYA NI KWA AMANI AKO, LKN WAKUAMUA NI WW!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…