Hivi mkuu unapoagiza gari toka Japan katika hizi km ni KM ngapi inakuwa bado ipo makini yaani minimum na maximum it means zisizidi KM kiasi fulani japo najua kuna uchezeaji wa odometer kwa wenzetu.AhsantehMsaada unahitajika hapa Msuya Jr. mpe ushauri ipi achukue.
Shem unamwita Mshana hapa kwani hii ni shughuli inayohusu ndumba?Mshana Jr ushauri plz
na ujuzi wa usafiri wa barabara za vijijini huwa anafuata mizizi ya dawa huko 😂Shem unamwita Mshana hapa kwani hii ni shughuli inayohusu ndumba?