Habari zenu wana jf.
Vp kuhusu biashara ya kuchakata Kokoto Dodoma kwa ajili ya ujenzi hali
kibiashara ikoje?
Mana baadhi ya Miji hii biashara imeshuka sana.Mwenye Uwelewa naomba kujuzwa.Shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.