Naomba ushauri

Naomba ushauri

Jeruh

Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
77
Reaction score
6
Nina girlfriend wangu ambaye nimekuwanaye kwa miaka mitatu sasa.na tumeishi muda wote kwa upendo.jana alikuja kunitembelea,wakati wa maongezi na stori za hapa na pale ndipo nikashka simu yake ili kutaka kujua amenisave jina gani.nikakuta kanisave "Daddy"sikumwambia chochote nikamrudishia simu yake.naomba mnishauri nifanyeje?
 
Hahahahaahah.....

Imebidi nicheke!!!Sasa hapo tatizo liko wapi?! Ulitaka akusave bro au shosti ?!
 
Aiseee....nimecheka hadi nimepaliwa.

Hizo stori zingine hizi daaaaah
 
Hahahahaahah.....<br />
<br />
Imebidi nicheke!!!Sasa hapo tatizo liko wapi?! Ulitaka akusave bro au shosti ?!
<br />
<br />
Atleast angesave my name lakini "Daddy"? Y?
 
<br />
<br />
Nahisi naibiwa maana hapo

Unaweza ukawa kweli ukaibiwa au unaweza ukawa huibiwi. Hapo ni 50/50.

Lakini kukataa kuitwa daddy? Nakushangaa.

Halafu wewe majina yako mengine humu ni nani?
 
Nahisi naibiwa maana hapo

Kama hajawahi kukuita hivyo inawezekana kweli ukawa unaibiwa au anapenda kukuita hivyo ila hana ujasiri wa kufanya hivyo kwahiyo kaishia kusave kwenye simu!!!
 
Nina girlfriend wangu ambaye nimekuwanaye kwa miaka mitatu sasa.na tumeishi muda wote kwa upendo.jana alikuja kunitembelea,wakati wa maongezi na stori za hapa na pale ndipo nikashka simu yake ili kutaka kujua amenisave jina gani.nikakuta kanisave &quot;Daddy&quot;sikumwambia chochote nikamrudishia simu yake.naomba mnishauri nifanyeje?
Mbona thimpo!! na ww msave "mammy" kwnye cmu yako. ngoma droo
 
Watu wa arusha wanapenda kuita wapenzi wao dadiiii
 
mimi niliwahi kukuta nimeseviwa kwa jina hili..
UGONJWA WA MOYO....
nilikosa hata nguvu za kuuliza....
 
Kama hajawahi kukuita hivyo inawezekana kweli ukawa unaibiwa au anapenda kukuita hivyo ila hana ujasiri wa kufanya hivyo kwahiyo kaishia kusave kwenye simu!!!
<br />
<br />
Atleast napata picha hapo.thanx
 
Back
Top Bottom