Naomba ushauri

Naomba ushauri

Ofisi yenyewe ndio hii
IMG_20200315_165618.jpg
IMG_20200314_173114.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika hata jina la stendi tu usipende kujichnganya na mambo yasiyo na msingi kivile katika biashara, jina lolote hata lako mwenyewe linatosha . ww jikite katika huduma nzuri na bei rafki katika huduma zako hutojutia lolote mkuu.
 
Corona stationary, kwa kuwa umefungua kipind hiki la janga, amini nakwambia utakuwa maarufu stationary yako,maana jina linatamkika, au pia unaweza it's boniphace MWAMPOSA stationary.
 
Kuchagua jina kuna maana kubwa sana kibiashara hasa ukiwa una mipango endelevu.

Chagua jina moja ambalo hata ukifungua ofisi zingine utatumia.

Mfano muuza kuku stationery, baadae ukafungua cleaning service ukaandika jina muuza kuku cleaning service.

Na ndo maana kuna kusajili jina la biashara BRELA.

Maana hawakawii wapenda mteremko umetumia nguvu nyingi na mida kusimamisha jina wao wakalitumia kwa manufaa yao.
 
Wana bodi habari za muda huu! Nashukuru Mungu nimejichanga na kufanikiwa kupata kafrem ktk eneo la stend kuu.
Lengo kuu ni kufungua stationary! Nimekuja kwenu ili mnisaidie kupendekeza jina zuri lenye mvuto kibiashara.
Natanguliza shukrani, nasubiria mapendekezo yenu kwa hamu kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana..nmekupa pongezi kwa Kitendo Tu cha kuzingatia " Jina "

"Uaminifu"...


" Chapuchapu"



"What is yours will always be yours no matter what "
 
Kuchagua jina kuna maana kubwa sana kibiashara hasa ukiwa una mipango endelevu.
Chagua jina moja ambalo hata ukifungua ofisi zingine utatumia.
Mfano muuza kuku stationery, baadae ukafungua cleaning service ukaandika jina muuza kuku cleaning service.
Na ndo maana kuna kusajili jina la biashara BRELA.
Maana hawakawii wapenda mteremko umetumia nguvu nyingi na mida kusimamisha jina wao wakalitumia kwa manufaa yao.
Aamin!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom