Naomba ushauri

Naomba ushauri

Chuck j

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2011
Posts
2,366
Reaction score
828
Ninamiaka 37 ninawatoto2,nilikvwa nasoma pale technobrain,diploma in ict, niliacha nikibakiza miezi 6 nimalize..maisha ni magumu sana kwa sasa,je niendelee au najilisha upepo?
 
Ninamiaka 37 ninawatoto2,nilikvwa nasoma pale technobrain,diploma in ict, niliacha nikibakiza miezi 6 nimalize..maisha ni magumu sana kwa sasa,je niendelee au najilisha upepo?
Sio jukwaa lake hapa.
 
Kama maisha magumu, kunywa sumu ili u Rest In Peace.
 
Ninamiaka 37 ninawatoto2,nilikvwa nasoma pale technobrain,diploma in ict, niliacha nikibakiza miezi 6 nimalize..maisha ni magumu sana kwa sasa,je niendelee au najilisha upepo?

Fafanua kidogo hapo kwenye red mkuu ili upewe mawazo ya kujenga nchi.
 
Kama maisha magumu, kunywa sumu ili u Rest In Peace.

we nilshakuambia kama si mzee bac akili yako ni ya kizee, una majbu machaf sana na ukiendelea hv hutapata ushirikiano kwenye hil jukwaa. rekebisha tabia ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom