EDIGAR JO JF-Expert Member Joined May 6, 2024 Posts 422 Reaction score 444 May 6, 2024 #1 Hivi unatakiwa kutajirika ukiwa na miaka mingapi? Mbona kama naona gari ishaniacha 🥺🥺🥺
Mtukutu wa Nyaigela JF-Expert Member Joined Sep 4, 2018 Posts 8,013 Reaction score 14,263 May 6, 2024 #2 hata uzeeni unatajirika tu mzee
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 May 6, 2024 #3 EDIGAR IC said: Hivi unatakiwa kutajirika ukiwa na miaka mingapi? Mbona kama naona gari ishaniacha 🥺🥺🥺 Click to expand... Kutajirika Kufanikiwa Kujipata. Kujitambua Kujitafuta. Anza na kujitambua , ukiivuka hii stage utafata huu muongozo Kujitafuta Kujipata Kufanikiwa Kutajirika Kulinda utajiri wako. Umri -sahihi wa kufanikiwa haupo Ila kuna nykati na majira ya kufanikiwa na kutajirika. Nyakati na majira ya kufanikiwa na kutajirika ni kipindi Una utajiri wa Afya ya mwili na AKILI , utajiri wa kiroho, utajiri wa maarifa . .
EDIGAR IC said: Hivi unatakiwa kutajirika ukiwa na miaka mingapi? Mbona kama naona gari ishaniacha 🥺🥺🥺 Click to expand... Kutajirika Kufanikiwa Kujipata. Kujitambua Kujitafuta. Anza na kujitambua , ukiivuka hii stage utafata huu muongozo Kujitafuta Kujipata Kufanikiwa Kutajirika Kulinda utajiri wako. Umri -sahihi wa kufanikiwa haupo Ila kuna nykati na majira ya kufanikiwa na kutajirika. Nyakati na majira ya kufanikiwa na kutajirika ni kipindi Una utajiri wa Afya ya mwili na AKILI , utajiri wa kiroho, utajiri wa maarifa . .