proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
baba wa mchongoNi baba mzazi
Kuna muda nakuaga na huruma ila kwenye hili la mwanaume kukataa kulea mimba najua sio bure ana sababu za msingi ila anaweza kukaa kimya asiwe muwaziBora upigwe virungu utaugulia utajikusanya upya Ila sio upande huu wa kuzalishana.
Usionee huruma mwanamke.
Tunakoenda kitawaka Sana.Kuna muda nakuaga na huruma ila kwenye hili la mwanaume kukataa kulea mimba najua sio bure ana sababu za msingi ila anaweza kukaa kimya asiwe muwazi
kavu kwa ndio nnMimi naona mtoto ni wako
Wanaume muendelee kujifunza,usiende kavu kwa mwanamke usiyemuamini ili kuepusha tabu kama za mleta mada,hata magonjwa pia
Sio wako, hesabu haiko sawa miezi 8, labda ka mtoto ni njiti.
Uko sahihi mkuu, nili sahau ku update, miezi 7 na siku kadhaa.30/6 ni miezi 7 b'se hiyo ilikuwa ni sawa na mwezi wa 7 tu
Mimba kuzaliwa kabla ya miezi 9 ya ukamilifu si yako, periodKuna binti nilikutana nae kimwili 30/6/2024 amejifungua Jana 13/2/2025
Nina wasiwasi kama ni mtoto wangu, eti alitakiwa ajifungue tarehe gani na mwezi upi?
Mkuu kwa tarehe alizoziandika, umepiga hesabu vizuri, upo sahihi.Kuna siku kama 17+ zinapelea hapo
Tunapigwa sanaJan 2-5 mwaka huu nlikuwa home Kwa wazeee sasa Kuna dogo wa kwa 'faza mdogo' kalea mimba demu alivozaa salama akamchana jamaa hili sio bao lako dogo wa Miaka 20 kapata pressure
Mwanangu wa kufikia alizaliwa akiwa na miezi sita tena si njiti na mim babaake nadunda tu...acheni kukataa watoto, watoto ni barakaKuna binti nilikutana nae kimwili 30/6/2024 amejifungua Jana 13/2/2025
Nina wasiwasi kama ni mtoto wangu, eti alitakiwa ajifungue tarehe gani na mwezi upi?
labda mtoto ni njiti, alitakiwa azaliwe mwezi wa 3Kuna binti nilikutana nae kimwili 30/6/2024 amejifungua Jana 13/2/2025
Nina wasiwasi kama ni mtoto wangu, eti alitakiwa ajifungue tarehe gani na mwezi upi?
hata unayemuamini asiende kavu kama hana mpango wa kuzaaMimi naona mtoto ni wako
Wanaume muendelee kujifunza,usiende kavu kwa mwanamke usiyemuamini ili kuepusha tabu kama za mleta mada,hata magonjwa pia
Nina wasiwasi kama ni mtoto wangu, eti alitakiwa ajifungue tarehe gani na mwezi upi?