Naomba ushauri

Chocs

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
8,411
Reaction score
4,777
Habari wana jf,
Mwanamke mwenye mzunguko wa hedhi siku 32 na akakutana kimwili na mwanamume siku ya 19-22 bila kutumia kinga halafu akapata tena periods mwezi unafwata ila siku zimepungua amebleed siku mbili na nusu na sio kawaida( siku anazoenda kawaida ni 5).
Tatizo ni kwamba matiti bado yametuna na kujaa na maumivu kwa mbali hali ambayo haikuwepo hapo awali na jambo jingine ni kwamba kuna wanawake wengine wanaweza kuconceive huku bado akaendelea kubleed.
Swali,je ni hali ambayo ni ya kawaida au kuna tatizo? Ushauri tafadhali.
 
Swali kwako: Je,hizo siku mbili na nusu zimeishia lini? Na je,hajawahi kushika mimba hapo kabla?

Kukujibu maswali yako,ni kwamba kuna uwezekano wa kuona periods japo kidogo kidogo hata mpaka 4th month of pregnancy ingawa ni kwa wanawake wachache sana.Sasa ili kujiweka ktk upande salama,kwanza apime aone kama ameshika ujauzito,kisha aendelee kumonitor progress in case akiwa mjamzito.
 
Hajawahi kushika mimba, siku mbili unusu (tarehe 1-2 na tareh 3 kiduchuu, march).
 
Anyway,achek kama ameishashika mimba ili tuende kwenye plan B hapo juu.
 
Ni kawaida ukiwa kwenye MP matiti kutuna na kuuma? Fanya UPT upate uhakika ila kwa uhakika zaidi fanya hCG(human chorionic gonadotrophin), but it is also possible to conceive and experience MP with spots only lakini sio kawaida yaani almost impossible.
 
Hua yanauma before,mp ikianza tu basi hayaumi tena.
 
Sawa,ila nafikiri ni after 2wks ndo mtu akicheki atapata jibu sahihi..nashukuru kwa ushauri.
Anyway,achek kama ameishashika mimba ili tuende kwenye plan B hapo juu.
 
Sawa,ila nafikiri ni after 2wks ndo mtu akicheki atapata jibu sahihi..nashukuru kwa ushauri.

Sio lazima iwe baada ya wk 2, kama cycle imeishajirudia,hata leo hii akichek UPT itatoa result bila shida.Mradi tu iwe haina kasoro na better ukatumika mkojo wa kwanza wa asubuhi.
 
kitu pekee cha kufanya ili uwe na uhakika ni kupima tu....,lakini dalili za ujauzito ni kama hizo matiti kuvimba na kuuma
 
Asante kwa ushauri.
Sio lazima iwe baada ya wk 2, kama cycle imeishajirudia,hata leo hii akichek UPT itatoa result bila shida.Mradi tu iwe haina kasoro na better ukatumika mkojo wa kwanza wa asubuhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…