Naomba ushauri

Lisa

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
1,549
Reaction score
1,075
Mimi ni mwanamke , nina miaka 32, nina watoto wawili. Nina Advanced Diploma ya IT. Nimemaliza katika chuo cha IIT.Nahitaji kusoma zaidi,kufikia lengo hilo nahitaji sponsor.Nimesikia WAMA wanatoa msaada wa kusomesha wanawake Tanzania. naombeni kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kupata hiyo sponsorship anieleze.WEB yao (WAMA) Haiko clear.

Otherwise kama kuna mtu anafahamu Sponsor wengine anifahamishe tafadhali.
 
Dada Lisa hapa majibu utayapata ngoja watu wenye utaalam wa mambo waje ..asubuhi hii bado ni blue monday
 
Sijui kama WAMA wanadhamini,Lakini mtaka cha uvunguni sharti ainame,kwa nini usifike kwenye ofisi zao ukaulizia vizuri? Kama huwezi basi google wama na utapata information na website yao.
Pia unaweza kumtafuta huyu kaka mwanasaikoloji anaitwa Dismas Lyasa.Mara nyingi nimemsikia redioni akieleza kuwa anatoa huduma hiyo ya kuwaelekeza watu na kuwatufutia sponsa za masomo.Ni maarufu kiasi chake hasa kwenye magazeti unaweza kupata contacts zake kirahisi.
 


1. Jaribu kuangalia hapa.
http://www.nuffic.nl/
........soma na ufuate maelekezo

2. Watembelee pia ubalozi wa Ujerumani na ulizia kuhus scholarships walizonazo
 
kuna scholarship zimetolewa na wizara ya elimu kwa wanawake 100 tanzania, cha muhimu ni kuwa na admission letter wametoa kwenye gazeti ila pia unaweza tembelea webisite yao kwa maelezo zaidi.
 
kuna scholarship zimetolewa na wizara ya elimu kwa wanawake 100 tanzania, cha muhimu ni kuwa na admission letter wametoa kwenye gazeti ila pia unaweza tembelea webisite yao kwa maelezo zaidi.

website gani si umpatie
 
mi nazani ungejitahi kwanza hata ufanye kazi kwa muda ungalie je hiyo elimu ya it inakusaidia then ucheki na hicho unacho taka kusoma coz unatakiwa ujue unasoma uelewe au nini uanataka hasa
 
ni kweli firstlady kama anayo hiyo web basi ampe ili aweze kuvisit mwenyewe,
 
Umri wako umeshapita kuwa sponsored na WAMA. WAMA wana sponsor mabinti tena wa Lindi for the time being kwa elimu ya Sekondari Wewe endelea na hiyo advances diploma yako, utumikie taifa huku ukiangalia nini kifanyike. kwa wama nakushauri usipoteze muda wako, majibu niliyokupa ni tosha. Nawafahamu vizuri sana.
 
subiri Ubalozi wa INdia wanatoa nafasi kibao mwezi ujao.....
 

Caroline, unajua ni kwa nini wanafadhili mabinti kutoka mkoa wa Lindi tu na si kwingineko?
 
Nadhani msaada mkubwa ni kuiweka hii website hadharani na kumwachia ajiridhishe yeye mwenyewe huku akisubiri mambo ya India, Nuffic nk http://www.wamafoundation.or.tz/ ukiwa mfuatiliaji mzuri wa hapa kwenye website utapata mwelekeo fulani kwa kwa maneno yao wenyewe kama mkubwa mmoja alivyosema hapo juu:
GET INVOLVEDDonation
WAMA Foundation welcomes contributions from corporations, organizations and foundations to support women empowerment especially girls and vulnerable children.
We will make sure your contributions benefit the targeted individuals.



Your can contribute in either of the following Programmes:

• Post- Secondary Education:
• Health : HIV/AIDS resources, sexual reproductive health
• Women Empowerment
• Orphans and Vulnerable children

Your contribution can be done technically, morally, monetary or equipment support in terms of:
• Writing to us
• Donate cash
• Donate through Cheque
 
Nenda wizara ya utumishi makao makuu department ya training..kuna varies sponsorship zinatolewa unachukua form na kujaza halafu unarudisha..utaangalia kozi uipendayo..kuhusu IT nafikiri kwa sasa kuna za kwenda India..just try
 

Hii hamna shida wapo vichwa humu ndani utapata tu dada usihofu
 
Dada Lisa, kwani wewe unataka kusoma nje ya nchi tu au hata TZ? unataka kusoma nini? ungeliweka wazi hilo maana kuna scholarships za specific fields/ countries.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…