HadithiZaRuvuly
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 369
- 114
- Thread starter
-
- #21
Ahsante kkakaribu sana usijali
Ndio maana nikauliza kaka kwahiyo linaitwa jukwaa la wanakigoma
Karibu mzeiyaNdugu zangu mimi ni member mpya katika application hii ningependa kuomba jinsi ya kutumia kwa sababu inavitu vingi mno
Ahsante kakaLinaitwa LEKA DUTIGITE
Ahsante sanaKaribu mzeiya
Endelea kuji mix kama kawaida
Unaona sasa mimi nilikuwa sijui daaaaaah ahsante kakaMnaroho mbaya humu,we dogo wenzio humu wote wanatumia majina ya uongo na hawajawahi kutupia picha zao hata mmoja, siku nyingine kablavya kuingia Fanya kauchunguzi huku sio insta wala Facebook, huku ni mwendo wa hoja tuu,we kurupuka tu,kama serilikari ya baba J
Dogo kama vipi sign out,jiunge upya kwa jina lingine la ajabu ajabu,na usitume tena picha humu,hatutaki kukujua kama picha nenda insta au fbUnaona sasa mimi nilikuwa sijui daaaaaah ahsante kaka
Shukran kwa ushaurDogo kama vipi sign out,jiunge upya kwa jina lingine la ajabu ajabu,na usitume tena picha humu,hatutaki kukujua kama picha nenda insta au fb
HahahahaHahahhahhaha wewe utakuwa ni mskm wa bariadi
Wamekuja machachali kabisa hawataki mchezo mchezo[emoji23] [emoji23] [emoji23] Wageni wa siku hizi bwana!
Ndio [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Vipi umekuja na ugali wa lowe?
ulakoze? Cjui ndo hvoHapana natoka kigoma
[emoji23]Mkuu weka picha nyingine tuhamishie kwenye jukwaa la wanakigoma,kule utaona ndugu zako
Ahsante[emoji3] [emoji3] [emoji3] karibu jf
Ndio hahahaulakoze? Cjui ndo hvo