Naomba ushirikiano

Mnaroho mbaya humu,we dogo wenzio humu wote wanatumia majina ya uongo na hawajawahi kutupia picha zao hata mmoja, siku nyingine kablavya kuingia Fanya kauchunguzi huku sio insta wala Facebook, huku ni mwendo wa hoja tuu,we kurupuka tu,kama serilikari ya baba J
 
Unaona sasa mimi nilikuwa sijui daaaaaah ahsante kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…