Naomba ushirikiano

Naomba ushirikiano

Ndugu zangu mimi ni member mpya katika application hii ningependa kuomba jinsi ya kutumia kwa sababu inavitu vingi mno
06eaf93583f35ad1f4ba84aefb8140a2.jpg
Karibu mzeiya
Endelea kuji mix kama kawaida
 
Mnaroho mbaya humu,we dogo wenzio humu wote wanatumia majina ya uongo na hawajawahi kutupia picha zao hata mmoja, siku nyingine kablavya kuingia Fanya kauchunguzi huku sio insta wala Facebook, huku ni mwendo wa hoja tuu,we kurupuka tu,kama serilikari ya baba J
 
Mnaroho mbaya humu,we dogo wenzio humu wote wanatumia majina ya uongo na hawajawahi kutupia picha zao hata mmoja, siku nyingine kablavya kuingia Fanya kauchunguzi huku sio insta wala Facebook, huku ni mwendo wa hoja tuu,we kurupuka tu,kama serilikari ya baba J
Unaona sasa mimi nilikuwa sijui daaaaaah ahsante kaka
 
Back
Top Bottom