ndugu zanguni naomba ushauri ninashida na tablets na nimeziona ebay bei yao nzuri sana,sasa naomba mtu anipe ushuhuda juu ya uhakika na security ya my money kama nikiwatumia, mzgo ntaupata coz wameandka free shipping.
pia hv punde ntakuwa na tour katika nchi ya spain,germany,na austria.naomba idea zenu juu ya electronics hasa ujeruman,bei zao vp na sehemu gani ntapata
commanche hivyo vifaaa wanakutumiaje