Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Kesi ikifutwa kwa mlalamikaji kutoenda mahakamani (lack of prosecution) hatua ya kuchukua ni kuiomba mahakama iliyofuta hiyo kesi kuirudisha (restoration) ili iweze kusikilizwa kwny misingi (on merits) sheria inayotumika kuomba maombi hayo inategeme na kesi hyo ipo mahakama/baraza gani la kutoa haki. NB USIKATE RUFAA TAFADHARI. (Costs zitafolllow event)Husika na mada tajwa hapo juu ningependa kujua kutoka kwa wabobezi wa sheria juu ya;
1. Utaratibu upi uanaotakiwa kufuatwa pale mashitaka yanapofutwa kwa kigezo cha mlalamikaji kutohudhulia mahakamani bila ya mlalamikaji kupewa taarifa ya mahala na muda wa kesi kusikilizwa?
2.utaratibu juu ya kuomba nakala ya hukumu
Ahsante sana kwa response yako.Kesi ikifutwa kwa mlalamikaji kutoenda mahakamani (lack of prosecution) hatua ya kuchukua ni kuiomba mahakama iliyofuta hiyo kesi kuirudisha (restoration) ili iweze kusikilizwa kwny misingi (on merits) sheria inayotumika kuomba maombi hayo inategeme na kesi hyo ipo mahakama/baraza gani la kutoa haki. NB USIKATE RUFAA TAFADHARI. (Costs zitafolllow event)
Lakini utakachopaswa kuishawishi mahakama ni sababu iliyokufanya USHINDWE kuhudhuria mahakamani hadi kesi ikafutwa. Na kwa sababu hyo umenyimwa haki wa kusikilizwa ( the right to be heard)
Mwone mwanasheria alie karb nawe kwa kuandikiwa hati ya maombi na ushauri kwan yy ataona nyaraka zako na kujiridhishwa zaidi.
Mahakama ya wilayaNdiyo inawezekana na ndo utaratibu siku zote, had pale sheria zitakapotamka vinginevyo. Kwan kesi ilikuwa mahakama gani???
Na vipi kuhusu utaratibu wa kurudisha kesi yaani hiyo (restoration) unaandika barua au inakuwaje? Na muda wa kufanya hivyo?Ahsante sana kwa response yako.
Lakini vipi unaweza kuiomba mahakama kuirudisha kesi.
Unaandika "chamber summons" na "Affidavit" yake sio BARUA mkuu!. Na unaonesha unaomba maombi yko chini ya kifungu gan (Non citation render ur application dismissed). Kwa kuwa ni mahakama ya wilaya sheria inayotumika ni CPC (under r. IX ).Na vipi kuhusu utaratibu wa kurudisha kesi yaani hiyo (restoration) unaandika barua au inakuwaje? Na muda wa kufanya hivyo?
Hapana mimi si lawyer ila nili "quote' neno restoration kutoka kwenye maelezo yako I 'm ignorant of law judicial matters.Unaandika "chamber summons" na "Affidavit" yake sio BARUA mkuu!. Na unaonesha unaomba maombi yko chini ya kifungu gan (Non citation render ur application dismissed). Kwa kuwa ni mahakama ya wilaya sheria inayotumika ni CPC (under r. IX ).
Muda wa kuomba ni 30dys from the date of dismisal order.
NB: wewe ni lawyer unataka idea sharing ama hujui lolote about Law??? Coz unavyoniuliza ni km unajua kitu fulan unatega kujiridhisha. Halaf nimeandika maneno ya profession ya sheria ndo maana nimekuuliza wewe ni Lawyer???
Sina hata idea ya kuandika hiyoHapana mimi si lawyer ila nili "quote' neno restoration kutoka kwenye maelezo yako I 'm ignorant of law judicial matters.
Chamber summons na affidavitySina hata idea ya kuandika hiyo
Nimkukubali MKUU , naomba nisaidie hill nijue ninaanzia WAP, nilinunua kiwanja sehemu ila kuna mgogoro jamaa alie niuzia na MTU mwingine ,wameenda mahakamani jamaa alie niuzia kashindwa kesi ,hii ni Mara ya pili kushindwa sasa huyu aliyeshindwa nimemwambia nimpatie PESA kakataa .na mm nimesha jenga tayari .Na mahakama haijaniambia chochote tangu nimeanza ujenzi hadi sasa NAOMBA Msaada.Unaandika "chamber summons" na "Affidavit" yake sio BARUA mkuu!. Na unaonesha unaomba maombi yko chini ya kifungu gan (Non citation render ur application dismissed). Kwa kuwa ni mahakama ya wilaya sheria inayotumika ni CPC (under r. IX ).
Muda wa kuomba ni 30dys from the date of dismisal order.
NB: wewe ni lawyer unataka idea sharing ama hujui lolote about Law??? Coz unavyoniuliza ni km unajua kitu fulan unatega kujiridhisha. Halaf nimeandika maneno ya profession ya sheria ndo maana nimekuuliza wewe ni Lawyer???
Habari za mida wadau?Ndiyo inawezekana na ndo utaratibu siku zote, had pale sheria zitakapotamka vinginevyo. Kwan kesi ilikuwa mahakama gani???