Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Husika na mada tajwa hapo juu ningependa kujua kutoka kwa wabobezi wa sheria juu ya;
1. Utaratibu upi uanaotakiwa kufuatwa pale mashitaka yanapofutwa kwa kigezo cha mlalamikaji kutohudhulia mahakamani bila ya mlalamikaji kupewa taarifa ya mahala na muda wa kesi kusikilizwa?
2.utaratibu juu ya kuomba nakala ya hukumu
1. Utaratibu upi uanaotakiwa kufuatwa pale mashitaka yanapofutwa kwa kigezo cha mlalamikaji kutohudhulia mahakamani bila ya mlalamikaji kupewa taarifa ya mahala na muda wa kesi kusikilizwa?
2.utaratibu juu ya kuomba nakala ya hukumu