Mkuu kwa huzijui sheria?
Amri ni neno Mtambuka...unamaanisha amri kutoka wapi/kwa nani? nikiliweka kingereza naweza kupata maneno yafuatayo ambayo yanatumika katika muktadha tofauti tofauti japo maana ya kiswahili itabaki kuwa ile ile Amri:
SHERIA NI MAAMUZI AMBAO MARA NYINGI NADHANI MNASHAURIANA KABALA YA KUANZA KUTUMIKA......AMRI NI MAAMUZI AMBAYO HAYABADIRIKI..YAWE MABAYA AU MAZURI YAKIWEKWA YAMEWEKWA. kwa mujibu wa umri mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.