Naomba uzoefu wa mtu aliyechukua mkopo toka Tala hivi karibuni

Naomba uzoefu wa mtu aliyechukua mkopo toka Tala hivi karibuni

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wadau,

Nimeona akina Kitenge wakitangaza fursa ya mikopo kwa kampuni ya mitandao ya Tala. Napenda kujua kwa yeyote aliyewahi kuchukua mkopo Tala uzoefu wake ukoje, hasa kuhusu:

1. Kiwango cha mkopo: Je, ni kiwango gani mtu anaweza kuomba?

2. Riba: Riba yao imekaaje, na inalipwa vipi?

Mfano: Ikiwa utakopa milioni 1 na ulipe kwa mwaka, unalipa shilingi ngapi kwa mwezi?

Naomba uzoefu wenu ili nipate picha kamili.
 
Wadau,

Nimeona akina Kitenge wakitangaza fursa ya mikopo kwa kampuni ya mitandao ya Tala. Napenda kujua kwa yeyote aliyewahi kuchukua mkopo Tala uzoefu wake ukoje, hasa kuhusu:

1. Kiwango cha mkopo: Je, ni kiwango gani mtu anaweza kuomba?

2. Riba: Riba yao imekaaje, na inalipwa vipi?

Mfano: Ikiwa utakopa milioni 1 na ulipe kwa mwaka, unalipa shilingi ngapi kwa mwezi?

Naomba uzoefu wenu ili nipate picha kamili.
Branch sijui Kwanini hawatoi mikopo Sasa hivi.
 
Wadau,

Nimeona akina Kitenge wakitangaza fursa ya mikopo kwa kampuni ya mitandao ya Tala. Napenda kujua kwa yeyote aliyewahi kuchukua mkopo Tala uzoefu wake ukoje, hasa kuhusu:

1. Kiwango cha mkopo: Je, ni kiwango gani mtu anaweza kuomba?

2. Riba: Riba yao imekaaje, na inalipwa vipi?

Mfano: Ikiwa utakopa milioni 1 na ulipe kwa mwaka, unalipa shilingi ngapi kwa mwezi?

Naomba uzoefu wenu ili nipate picha kamili.
Ndugu yangu hakuna watoa mikopo mitandaoni wakakupa 1m, ni kuanzia 30k hadi 120k tena unaweza kujikuta unalipa riba 80% na ujiandae kudhalilishwa.
 
Baada ya muda zitaanza nyuzi za "Najuta kuifahamu hii kampuni......." , "Serikali mko wapi......."
 
Back
Top Bottom