Mmmh hujaelewa vizuri.....urafiki ulianzia mbali kaka/dada, yani kwa kuwa tu nilikuwa na roho mtakatifu na niliamua kuwa mtawa wa kujitegemea, Ukaishia kwenye makaratasi hadi tulipomaliza sekondari...yeye akakwe pipa. Mie nikabaki bongo. Sasa ndio tumeonana tena. Tunakumbuka tulivyokuwa tunaandikia na kuchoroeana maua. Sasa si tumeshakuwa wakubwa. he......MOyo unanipasuka
Huu nao mtihani mwingine...Naanza je katavi?
sio kila jambo la zamani ni dhahabu mkuu,acha kukariri,
Whats wrong with you dude, you sound like one hell of a looser!!!
mnachoreana maua na limoyo halafu unalipaka rangi na mastika juu,halafu na limkuki plus dedication song,bya whitney houston,i will always love u! Mbali sana hii kitu,duh pole LD
Duh mbona unaniogopesha ni wewe nini brother. Manake maswali magumu sana. Khaa
ulijichimbia wapi wewe kiboko ya wadada wa jf? Im not a loose liz of TgTG sijui masaiti au kibaoni.
We acha tu....halafu mnakuja kutana wakati huu wakati ambao...
Duh mbona unaniogopesha ni wewe nini brother. Manake maswali magumu sana. Khaa
Kula kichwa hicho mzazi
Mkuu mi naamini ya kale ni dhahabu, huwezi tupa nguo ya zamani kwa kupata mpya.
LD bana!!!
Funguka dogoi, funguka!!
huyu anafungukia kule!!!
wewe unafungukia huku!!!
Fungukeni vijana wangu....huu ni wakati wenu!
We acha tu....halafu mnakuja kutana wakati huu wakati ambao...
Haya binti yetu keshakuwa huyooo..tumwahishe akafundwe mambo yasije haribika.By the way mali yako adimu imeshatoboka...kama tayari shauri yako....Unajua anweza kujenga picha ya zamani akafikiri ndivyo ulivyo sasa..kumbe mwenzake umeshapita misitu na nyika
hiki sikiwezi,kiko resi sana kama kinalipuka,