mandawa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 772
- 1,119
Mimi kama Kristo niliolelewa nikijua Biblia ni kitabu kitakatifu, nimesikitishwa sana na huyu mchungaji Masisi kwa makufuru yake kuhusu Biblia.
Masisi hana tofauti na wakristo wengi ambao tumekuzwa tukielewa Biblia ni neo la kweli la Mungu, ila kiburi anachokionyesha sijui kwa usomi wa kujiita Dr. anaona ni rahisi kupotosha Umma wa wakristu.
Nashukuru Serikali kwa kulisimamisha kanisa, ila kwangu mimi naona sisi kama wakristo tuuungane kupinga kila kitu anachfanya pamoja na product yao ya Zoa Zoa. Maana naona kabisa huyu ni agent wa Kuzimu, hivyo sio vema kujihusisha nae kwa chochote kinachomuhusu. Wakristo Tuwe macho sana nyakati hizi, tusome neno kwa bidii, tuzijue hila za mwovu.
Kuacha wasomi wa theorojia watuhubirie kila siku ..matokeo ndio hayo ya upotoshaji..... Masisi acha kiburi.
Pia soma > Serikali yalifungia kanisa la Spirit Word Ministry
Masisi hana tofauti na wakristo wengi ambao tumekuzwa tukielewa Biblia ni neo la kweli la Mungu, ila kiburi anachokionyesha sijui kwa usomi wa kujiita Dr. anaona ni rahisi kupotosha Umma wa wakristu.
Nashukuru Serikali kwa kulisimamisha kanisa, ila kwangu mimi naona sisi kama wakristo tuuungane kupinga kila kitu anachfanya pamoja na product yao ya Zoa Zoa. Maana naona kabisa huyu ni agent wa Kuzimu, hivyo sio vema kujihusisha nae kwa chochote kinachomuhusu. Wakristo Tuwe macho sana nyakati hizi, tusome neno kwa bidii, tuzijue hila za mwovu.
Kuacha wasomi wa theorojia watuhubirie kila siku ..matokeo ndio hayo ya upotoshaji..... Masisi acha kiburi.
Pia soma > Serikali yalifungia kanisa la Spirit Word Ministry