NATIONALISM
Member
- Jul 10, 2013
- 24
- 1
Kutokana na kichwa cha habari hapo juu,mm ni mwanachuo wa chuo fulan hapa TZ,nachukua degree ya elimu(UALIMU) nimekosa mkopo na mm ndo nahangaika mwenyewe huku na huku ili niweze kupata university fees,kitu ambacho kinanipa changamoto sana,Nimelileta kwenu pengine naweza kupata suruhu ya changamoto hii,AMBAYE ATAGUSWA .MUNGU AWABARIKI