Habarini wadau wa JF
Kwa heshima na unyenyekevu nipo hapa mbele yenu nahitaji kuwapata wahusika wa mabus ya abiria kutoka Dar kwenda mikoani.
Nina suluhisho la kuwezesha wateja kukata tickets kwa njia ya mtandao na kupata taarifa za tickets zao kwa njia ya sms pamoja na kwenye account zao za system.
Naomba kuweza kupata connection ya kujadili nao ili wateja wakikata tickets kwa njia hiyo ya mtandao niwaunganisha na gari zao.
Natanguliza shukrani.
Kwa heshima na unyenyekevu nipo hapa mbele yenu nahitaji kuwapata wahusika wa mabus ya abiria kutoka Dar kwenda mikoani.
Nina suluhisho la kuwezesha wateja kukata tickets kwa njia ya mtandao na kupata taarifa za tickets zao kwa njia ya sms pamoja na kwenye account zao za system.
Naomba kuweza kupata connection ya kujadili nao ili wateja wakikata tickets kwa njia hiyo ya mtandao niwaunganisha na gari zao.
Natanguliza shukrani.