Naomba wasifu wa gari aina ya Toyota Rav 4 kill time

Naomba wasifu wa gari aina ya Toyota Rav 4 kill time

Nipo interested na gari la ina hii.

Naomba wenye uzoefu waje kushare

Gharama, Uzuri na Ubaya wa gari hili n.k
Nzur sana kimuonekano na hata ukipita Nji mbovu inahimili tuh vizur.
Hawakawii kukwambia ununue Old Model gar ambayo ni ngumu sana bt haina Muonekano mzur hata ukienda Ukwen unaonekana hukutumia vizur Pesa zako kuchagua Gari ambayo inakwenda na wakat siyo hiyo ya miaka 20 nyuma iliyopita.
 
Sifa zake!
1. Ni gari
2. Ipo juu ngumu kugusa bampa chini
3. Inatengenezeka na mafundi wote
4. Haili sana mafuta ( low consumption)
5. Spare zinapatikana hapa bongo
6. Ina chaguo dogo na kubwa lakini CC1790 Nzuri kwa mafuta,
7. Injini yake ikitumika muda mrefu 5years above pasipo kuzingatia ubora wa oil huuwa PISTO RING ambazo ZINATENGENEZEKA
8. Mlango wa nyuma unaobeba taili haufai kufunguliwafunguliwa ili udumu.
9. Hazihitaji mbio nyingi barabarani zaidi ya 120km/hr zinatumiwa na watu wataftaji na waliopevuka kiakili
10. Ni gari ambayo haipitwi na fashen
 
Sifa zake!
1. Ni gari
2. Ipo juu ngumu kugusa pamba
3. Inatengenezaka na mafundi wrote
4. Haili sana mafuta
5. Spare zinapatikana hapa bongo
6. Ina chaguo dogo na kubwa lakini CC1790 Nzuri kwa mafuta,
7. Injini yake ikitumika muda mrefu 5years above pasipo kuzingatia ubora wa oil huuwa PISTO RING ambazo ZINATENGENEZEKA
8. Mlango wa nyuma unaobeba taili haufai kufungilifunguliwa ili udumu.
9. Hazihitaji mbio nyingi zaidi ya 129km/hr zinatumika na watu wataftaji na waliopevuka kiakili
10. Ni gari ambayo haipitwi na fashen
Waooh! Nice Comment mwambie pia akikwama Kimaisha ni Rahisi kuuzika kulilo Nissan Extrail au gari za Kampuni ya Nissan, Honda nk
 
Sifa zake!
1. Ni gari
2. Ipo juu ngumu kugusa bampa chini
3. Inatengenezeka na mafundi wote
4. Haili sana mafuta ( low consumption)
5. Spare zinapatikana hapa bongo
6. Ina chaguo dogo na kubwa lakini CC1790 Nzuri kwa mafuta,
7. Injini yake ikitumika muda mrefu 5years above pasipo kuzingatia ubora wa oil huuwa PISTO RING ambazo ZINATENGENEZEKA
8. Mlango wa nyuma unaobeba taili haufai kufunguliwafunguliwa ili udumu.
9. Hazihitaji mbio nyingi barabarani zaidi ya 120km/hr zinatumiwa na watu wataftaji na waliopevuka kiakili
10. Ni gari ambayo haipitwi na fashen
Umenyoosha mkali haina haja ya kumaliza herufi za simu yangu 😂😂😂
 
Sifa zake!
1. Ni gari
2. Ipo juu ngumu kugusa bampa chini
3. Inatengenezeka na mafundi wote
4. Haili sana mafuta ( low consumption)
5. Spare zinapatikana hapa bongo
6. Ina chaguo dogo na kubwa lakini CC1790 Nzuri kwa mafuta,
7. Injini yake ikitumika muda mrefu 5years above pasipo kuzingatia ubora wa oil huuwa PISTO RING ambazo ZINATENGENEZEKA
8. Mlango wa nyuma unaobeba taili haufai kufunguliwafunguliwa ili udumu.
9. Hazihitaji mbio nyingi barabarani zaidi ya 120km/hr zinatumiwa na watu wataftaji na waliopevuka kiakili
10. Ni gari ambayo haipitwi na fashen
Mkumbushie na mabaya yake pia ya matege ya nyuma,kukongoroka chini mabushi nk kila mara!
 
Sifa zake!
1. Ni gari
2. Ipo juu ngumu kugusa bampa chini
3. Inatengenezeka na mafundi wote
4. Haili sana mafuta ( low consumption)
5. Spare zinapatikana hapa bongo
6. Ina chaguo dogo na kubwa lakini CC1790 Nzuri kwa mafuta,
7. Injini yake ikitumika muda mrefu 5years above pasipo kuzingatia ubora wa oil huuwa PISTO RING ambazo ZINATENGENEZEKA
8. Mlango wa nyuma unaobeba taili haufai kufunguliwafunguliwa ili udumu.
9. Hazihitaji mbio nyingi barabarani zaidi ya 120km/hr zinatumiwa na watu wataftaji na waliopevuka kiakili
10. Ni gari ambayo haipitwi na fashen

11.sio comfortable seat za nyuma ni kama mabench
 
Maelezo ya wachangiaji wengi hapa ni mazuri. Sasa mseme pia na wastani wa bei yake ili mhusika akitaka kuivuta kutoka Japan, kujiongeza showroom au kumvua mtu ajue kabisa.
 
Bush nzuri za RBI ukiweka ni mkataba, ukiweka ujinga wa frotis inakula kwa dereva [emoji23]
Mitege ya nyuma kula tyre upande mmoja na kukita ukiweka gear bado mafundi wetu wa tz hawajajua mwarobaini wake?
 
Sifa zake!
1. Ni gari
2. Ipo juu ngumu kugusa bampa chini
3. Inatengenezeka na mafundi wote
4. Haili sana mafuta ( low consumption)
5. Spare zinapatikana hapa bongo
6. Ina chaguo dogo na kubwa lakini CC1790 Nzuri kwa mafuta,
7. Injini yake ikitumika muda mrefu 5years above pasipo kuzingatia ubora wa oil huuwa PISTO RING ambazo ZINATENGENEZEKA
8. Mlango wa nyuma unaobeba taili haufai kufunguliwafunguliwa ili udumu.
9. Hazihitaji mbio nyingi barabarani zaidi ya 120km/hr zinatumiwa na watu wataftaji na waliopevuka kiakili
10. Ni gari ambayo haipitwi na fashen
Hahahaaa haipitwi na fashen duu napita tu
 
Ni mazuri sana nayapenda
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    48.4 KB · Views: 158
Kilitime inakera mlango wa nyuma wenye tairi ni lazima badae ulegee upige makelele. Ukipata yenye 1ZZ umepata gari jiwe kweli kweli, ni ngumu kuzingua,
 
Sifa zake!
1. Ni gari
2. Ipo juu ngumu kugusa bampa chini
3. Inatengenezeka na mafundi wote
4. Haili sana mafuta ( low consumption)
5. Spare zinapatikana hapa bongo
6. Ina chaguo dogo na kubwa lakini CC1790 Nzuri kwa mafuta,
7. Injini yake ikitumika muda mrefu 5years above pasipo kuzingatia ubora wa oil huuwa PISTO RING ambazo ZINATENGENEZEKA
8. Mlango wa nyuma unaobeba taili haufai kufunguliwafunguliwa ili udumu.
9. Hazihitaji mbio nyingi barabarani zaidi ya 120km/hr zinatumiwa na watu wataftaji na waliopevuka kiakili
10. Ni gari ambayo haipitwi na fashen

Umemaliza kila kitu[emoji122][emoji122][emoji122] nice
 
Back
Top Bottom