Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hii Kili timeMiss Tz? Okay Mr Cars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Kili timeMiss Tz? Okay Mr Cars
Lazima nitanunuaMkuu chukua hii ya 2020..ukiiona unaweza sema ni Range Rover kumbe ni Rav4View attachment 2419193
Ofisin kwetu kuna Mangi Mmoja anayo hii huu mwaka wa 4 sasa hatujawah kuona ikioata Matege wala nn jamaa kila mwisho wa Mwaka anaenda nayo Moshi kitu imetulia.Ni mazuri sana nayapenda
Kwenye high speed hapana kwa kweli beyond 130 haishawishiOfisin kwetu kuna Mangi Mmoja anayo hii huu mwaka wa 4 sasa hatujawah kuona ikioata Matege wala nn jamaa kila mwisho wa Mwaka anaenda nayo Moshi kitu imetulia.
One time nilisafir kwenda Moshi na hiyo kitu aisee kitu inasepa balaa yani 160km/hr imetulia balaa utafikir mpo 50km/hr
Ni mazuri sana nayapenda
Hahah RAV4 120 speed inayumba na inakuwa nyepesi only kluger can do thatOfisin kwetu kuna Mangi Mmoja anayo hii huu mwaka wa 4 sasa hatujawah kuona ikioata Matege wala nn jamaa kila mwisho wa Mwaka anaenda nayo Moshi kitu imetulia.
One time nilisafir kwenda Moshi na hiyo kitu aisee kitu inasepa balaa yani 160km/hr imetulia balaa utafikir mpo 50km/hr
Google utaonaHii gari nikiiona huwa nafurahi sana hii miss tz ni tsh ngapi ya 2009 au 2010 mpaka mkononi kutoka japan
Hii siyo Kill time bossNi mazuri sana nayapenda
D4 engine yake huwa ni 1AZ same engine ya Voxy ambayo ni majanga kama siyo mtunzajiKill time ni gari nzuri ila usichukue yenye engine ya D4, Tafuta yenye engine ya 1ZZ hapo ulaji wa mafuta utakua sawa na Premio X ama Vista.
[emoji120]Sifa zake!
1. Ni gari
2. Ipo juu ngumu kugusa bampa chini
3. Inatengenezeka na mafundi wote
4. Haili sana mafuta ( low consumption)
5. Spare zinapatikana hapa bongo
6. Ina chaguo dogo na kubwa lakini CC1790 Nzuri kwa mafuta,
7. Injini yake ikitumika muda mrefu 5years above pasipo kuzingatia ubora wa oil huuwa PISTO RING ambazo ZINATENGENEZEKA
8. Mlango wa nyuma unaobeba taili haufai kufunguliwafunguliwa ili udumu.
9. Hazihitaji mbio nyingi barabarani zaidi ya 120km/hr zinatumiwa na watu wataftaji na waliopevuka kiakili
10. Ni gari ambayo haipitwi na fashen
Hapo kwenye FROTIS ndipo kunapo 7bbisha toyota kwa tanzania ni cheap kuliko mjerumani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bush nzuri za kuchonga kwa fundi maiko, utakuta anachonga bush kama anachonga vinyago bagamoyo[emoji23][emoji23]Bush nzuri za RBI ukiweka ni mkataba, ukiweka ujinga wa frotis inakula kwa dereva [emoji23]
Ila kwa Rav4 vanguard hatotokea mpinzani wake ikifuatiwa na hii! Tofauti na hapo uchukue lile la masawee ila hayo mengine ni mtihaniNi mazuri sana nayapenda
Majipu ya ubongo kwa watanzania wengi wanao tegemea spare za china kufunga kwenye magari ya mjapaniMkuu chukua hii ya 2020..ukiiona unaweza sema ni Range Rover kumbe ni Rav4View attachment 2419193
Siku mtachochora na hiyo 160km/h ndio mtajua kua sio 50km/hOfisin kwetu kuna Mangi Mmoja anayo hii huu mwaka wa 4 sasa hatujawah kuona ikioata Matege wala nn jamaa kila mwisho wa Mwaka anaenda nayo Moshi kitu imetulia.
One time nilisafir kwenda Moshi na hiyo kitu aisee kitu inasepa balaa yani 160km/hr imetulia balaa utafikir mpo 50km/hr
Tarehe 20th Desemba tunatarajia kwenda MoshiSiku mtachochora na hiyo 160km/h ndio mtajua kua sio 50km/h
Mimi nitakaa WAMI nahesabu namba E zinazo enda huko! Kama una namba A, namba B, namba C, na namba D baki huko huko uzaramui au tafuta fuso likubebee huo uchafu ukauwashie MABOGINI na MRENYITarehe 20th Desemba tunatarajia kwenda Moshi
Sijuw itakuwaje safar hii
Uuuwiii Jaman