Yes, rush ni model ya pili ya Toyota Cami/Daihatsu Terios. Ingawa Daihatsu ni kampuni inayomilikiwa (subsidiary) na Toyota Motors Corporation, so basically ni Toyota tu. Ila Kiuhalisia, huwa sipendi saana magari yanayotengenezwa na subsidiary companies za makampuni makubwa. Sometimes zinakua na usumbufu kidogo, hasa kwenye spare parts.
So, Rush ni gari nzuri, good ground clearance, higher visibility, na zipo zenye AWD/4WD, ila ni a bit expensive, sababu ni gari ya karibuni. Ila wa comparison, I'd rather have a RAV4 instead. Hata ile model ya kwanza.