ZINJANTHROPAZ
JF-Expert Member
- Aug 6, 2023
- 287
- 470
CLAPS YOUR HANDS TO THIS MAN.
Huyu mwamba ukimsikiliza vzuri kwanza ana uelewa mpana wa anachokifanya kuanzia lugha nahisi zinafika lugha nne za kimataifa na pia kiingereza ndo yuko vizuri mana hategemei subtittle.
Ukiachana na hayo napenda sana atafsiri movie yenye maudhui ya kijasusi na ki diplomasia anakueleza kila kitu clear, anajua mambo ya vita, mambo CIA, MOSSAD,FBI,TISS, mambo ya kila nchi mfano historia za miji kama timbuktu sijui mipaka ya kazakstan daaah!! plus matukio fiche ambayo hata kuyasikia kwingine ni nadra sana mpaka huwa nasema au katoroka kwenye system.
Mfano nlikuwa nachek series moja ya kijasusi inaitwa (agent x) kukawa na scene inazungumzia biological weapons sasa mule wameeleza kdogo na tukio kidogo tu. sasa acha huyu mwamba aanze kuleta nondo zake kuanzia ilpoanzia yaani ilipopigwa marufuku daah.
Mambo inside kabisa ya Marekani mpaka huwa nachoka hebu mwenye wasifu wake anaweza ongezea nyama ili nikija kuunganisha dots zangu ntapata majibu. lets go....
Huyu mwamba ukimsikiliza vzuri kwanza ana uelewa mpana wa anachokifanya kuanzia lugha nahisi zinafika lugha nne za kimataifa na pia kiingereza ndo yuko vizuri mana hategemei subtittle.
Ukiachana na hayo napenda sana atafsiri movie yenye maudhui ya kijasusi na ki diplomasia anakueleza kila kitu clear, anajua mambo ya vita, mambo CIA, MOSSAD,FBI,TISS, mambo ya kila nchi mfano historia za miji kama timbuktu sijui mipaka ya kazakstan daaah!! plus matukio fiche ambayo hata kuyasikia kwingine ni nadra sana mpaka huwa nasema au katoroka kwenye system.
Mfano nlikuwa nachek series moja ya kijasusi inaitwa (agent x) kukawa na scene inazungumzia biological weapons sasa mule wameeleza kdogo na tukio kidogo tu. sasa acha huyu mwamba aanze kuleta nondo zake kuanzia ilpoanzia yaani ilipopigwa marufuku daah.
Mambo inside kabisa ya Marekani mpaka huwa nachoka hebu mwenye wasifu wake anaweza ongezea nyama ili nikija kuunganisha dots zangu ntapata majibu. lets go....