Naomba Wasifu wa Waziri Dkt. Stergomena Tax

Naomba Wasifu wa Waziri Dkt. Stergomena Tax

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,246
SADC.jpg
SADC.jpg


Jina kidogo linanitatiza wakuu!
 
Waswahili kwa kuchunguliana, unataka ujue ili iweje?
 
Ili kama anatoka kabila Fulani ili iweje? Kwa kifupi ana damu ya Kituruki!!!! Dadavua zaidi kwa wakati wako. Ila ni mtanzania halisi baba na mama. Kanda ya Ziwa wana taarifa rasmi!!!!
 
Nashukulu kwa baadhi ya ufafanuzi mlionipa nilichotaka kujua ni mkoa tu hayo mengine mlioyaongeza sikutaka kuyajua.
 
Bamwenda ;Hilo ni jina la kule alikoolewa lakini yeye anatoka MSOGa ni ------, huoni weupe wake!!!
 
Mwenyeji wa Sengerema Mwanza, kasoma na Magufuli Lake Secondary

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mwanza kuna viumbe wa kisukuma ukikutana nao utasena wazungu au waarabu kumbe wasukuma, wa-asia wana damu kali sana, hata mama awe na chembe tu za asia utashangaa mtoto ni chotara tii.

Huyu mama mtoto wake ndio aliezua umaarufu kwa kulisakata amapiano kwenye ile video ya kutambulisha jezi za yanga
 
Back
Top Bottom