Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Salamu wa JF. Naomba matusi yasiwepo.
GDP (gross domestic product) inapatikanaje? Mpaka mashirika ya kimataifa wanatoa ripoti.
Kwa upande wangu nikichukulia neno domestic product inakuwa na maana ya mazao yatokanao na uzalishaji wa ndani.
Ninaomba kujua hao wataalamu wa mashirika ya kimataifa wanapataje data na kutoa ripoti?
Kwa mfano nikichukulia Tanzania, kuna products nyingi sana tunazalisha. Products hizo ukiziweka kwenye value ya pesa ni pesa nyingi mno.
Mf: Upande wa kilimo let say Tanzania mwaka huu imezalisha Tani 10,000,000 za mchele. Je, products hizi haziwezi kuwa converted to GDP?
Au wanaposema Domestic Product maana yake ni tafauti?
Ninaweza kuongeza tena mfano: Tanzania ipo na ujenzi wa SGR from own source kutokana na makusanyo ya kodi. Je, hayo hayawezi kuingizwa kwenye GDP!?
Vilevile mwaka 2015 makusanyo ya kodi toka TRA yalikuwa wastani wa Tsh800b kwa mwezi sasa hivi ni Tsh1.9T kwa mwezi je, hayo hayawezi kuingizwa kwenye GDP?
Mizigo imeongezeka badarini, na WFP wanapitisha na kununua chakula TZ. Hii imekaaje wajameni!?
Naomba tujadili kwa kina hii GDP inapatikanaje?
GDP (gross domestic product) inapatikanaje? Mpaka mashirika ya kimataifa wanatoa ripoti.
Kwa upande wangu nikichukulia neno domestic product inakuwa na maana ya mazao yatokanao na uzalishaji wa ndani.
Ninaomba kujua hao wataalamu wa mashirika ya kimataifa wanapataje data na kutoa ripoti?
Kwa mfano nikichukulia Tanzania, kuna products nyingi sana tunazalisha. Products hizo ukiziweka kwenye value ya pesa ni pesa nyingi mno.
Mf: Upande wa kilimo let say Tanzania mwaka huu imezalisha Tani 10,000,000 za mchele. Je, products hizi haziwezi kuwa converted to GDP?
Au wanaposema Domestic Product maana yake ni tafauti?
Ninaweza kuongeza tena mfano: Tanzania ipo na ujenzi wa SGR from own source kutokana na makusanyo ya kodi. Je, hayo hayawezi kuingizwa kwenye GDP!?
Vilevile mwaka 2015 makusanyo ya kodi toka TRA yalikuwa wastani wa Tsh800b kwa mwezi sasa hivi ni Tsh1.9T kwa mwezi je, hayo hayawezi kuingizwa kwenye GDP?
Mizigo imeongezeka badarini, na WFP wanapitisha na kununua chakula TZ. Hii imekaaje wajameni!?
Naomba tujadili kwa kina hii GDP inapatikanaje?