Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
GDP( GROSS DOMESTIC PRODUCT) Hii hujumlisha huduma na bidha zote zilizo zalishwa ndani ya nchi bila kujal aliye zalisha ni mzawa au mgeni lakin haita husisha bidha au huduma kutoka nje y nchi hatakam aliye zalisha huko nje ni mzawa.
GNP(GROSS NATIONAL PRODUCT) Hii hujumlisha bidha na huduma zote zinazo zalishwa ndani ya nchi na nje ya nchi ila na wazawa tu wa nchi husika, mfano wa Tz walio ndani ya nchi n wale walio nje..kwaiyo value za dhaman wanazo zalisha zita jumlishwa.
Fomular ya kupata GDP
GDP= C+I+G+(E-I) au
GDP=C+I+G+NX
Where by
C=consuption-matumizi ya kila siku kwenye huduma na bidha
I=investment-hapa ni uwekezaji unaofanywa ndani y nchi pia dhamani yke lzima ijumlishwe
G= goverment expenditure-matumizi yote ya serikali lazima ya jumlishwe kwenye ili kujua ukuwaj wa gdp
E=export-kile kinacho zalishwa ndani n kuzwa njee either ni biza au huduma
I=import nikile kinach zalishwa njee
NX= net export-ili kupata net export lzm ukuchuw kile chote kilicho zalishwa ndani utoe kile kilicho ingizwa kutok nje...then kitakach bakia utajumlisha kwenye hesabu
Lkn jua Tanzania ina sector nyingi zinazo ingiza hela ila hazija tambulika km formal sector kwaiyo huwa haziesabiwi kwenye gdp....ndio mana kuna kiti kinaitwa rebase kwenye uchumi ili kupandisha gdp.
Km nchi inazalisha vizuri lkn kuna import kubwa kuliko export inaweza kuathiri growth rate ya GDP
GNP(GROSS NATIONAL PRODUCT) Hii hujumlisha bidha na huduma zote zinazo zalishwa ndani ya nchi na nje ya nchi ila na wazawa tu wa nchi husika, mfano wa Tz walio ndani ya nchi n wale walio nje..kwaiyo value za dhaman wanazo zalisha zita jumlishwa.
Fomular ya kupata GDP
GDP= C+I+G+(E-I) au
GDP=C+I+G+NX
Where by
C=consuption-matumizi ya kila siku kwenye huduma na bidha
I=investment-hapa ni uwekezaji unaofanywa ndani y nchi pia dhamani yke lzima ijumlishwe
G= goverment expenditure-matumizi yote ya serikali lazima ya jumlishwe kwenye ili kujua ukuwaj wa gdp
E=export-kile kinacho zalishwa ndani n kuzwa njee either ni biza au huduma
I=import nikile kinach zalishwa njee
NX= net export-ili kupata net export lzm ukuchuw kile chote kilicho zalishwa ndani utoe kile kilicho ingizwa kutok nje...then kitakach bakia utajumlisha kwenye hesabu
Lkn jua Tanzania ina sector nyingi zinazo ingiza hela ila hazija tambulika km formal sector kwaiyo huwa haziesabiwi kwenye gdp....ndio mana kuna kiti kinaitwa rebase kwenye uchumi ili kupandisha gdp.
Km nchi inazalisha vizuri lkn kuna import kubwa kuliko export inaweza kuathiri growth rate ya GDP