Naomba wazo la biashara /kilimo mtaji 400,000/=

Kandulla

New Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
3
Reaction score
0
Mimi ni kijana wa kiume (25) nipo Dodoma nahitaji kufanya biashara nina mtaji wa shilingi laki Tano tu 500,000. Je nifanye biashara gani itakayonipatia faida na kukuza kipato changu. Nina ujuzi wa kumpyuta na ualimu tu.

Mawazo yenu wakuu.

Asanteni.
 
fanya biashara ya kijiwe cha kuremba akina dada kucha na miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…