Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mkaa sishauri una mambo mengi sana. Soma humu πKama upo mjini tafuta vibali ufanye biashara ya mkaa au gas. Nimemaliza.
Njoo tufanye biashara ya Dagaa na nafaka...,usimamizi na uendeshaji ni juu yangu...wewe kila mwezi utakuwa unapata faida ya 7% ya mtaji wako utakaoweka kwenye biashara,Habari za weekend wanajamvi, Nina tegemea kupata 4M ndani ya siku kadhaa zijazo kusema kweli natamani nifanyie Jambo ili izalishe imebidi niombe mawazo kwenu wadau, matumizi ya kawaida ninayo lakini nimeona kuiwekeza Ni wazo zuri zaidi. Je Kama niwewe ungefanyia nini?!
Nawasilisha.
Mia na mia mbili...vitu vya jumlaaa havina faida kubwa,,unatakiwa uuze sana ndio pesa utaionaHivi Duka la kuuza maji jumla pamoja na vinywaji faida yake ikoje
Endelea na biashara hio hio iriyokupatia hio heraHabari za weekend wanajamvi, Nina tegemea kupata 4M ndani ya siku kadhaa zijazo kusema kweli natamani nifanyie Jambo ili izalishe imebidi niombe mawazo kwenu wadau, matumizi ya kawaida ninayo lakini nimeona kuiwekeza Ni wazo zuri zaidi. Je Kama niwewe ungefanyia nini?!
Nawasilisha.
Elezea vizuri tujifunzeBangi inalipa baraaa nilishaaai kuchukua muzigo mmoja ukarudisha faida Mara nne
Poa kiongozi, I willNjoo tufanye biashara ya Dagaa na nafaka...,usimamizi na uendeshaji ni juu yangu...wewe kila mwezi utakuwa unapata faida ya 7% ya mtaji wako utakaoweka kwenye biashara,
Mikataba ya kisheria tutaandikishana ili kulinda masrahi ya pande zote, UAMINIFU ndo cha muhimu sana kabla ya yote.
Karibu tuwasiliane kwa maelezo zaidi +255716060677 ,biashara zangu nafanyia Mwanza na Arusha. Asante.
Me ninalo moja maeneo ya Tegeta...napiga vzr tu. Cha msingi uwe sehemu yenye msongamano...faida yake ni ndogo ndogo sana lakini mzigo kama unatoka kwa haraka kwa mwez unapata hela nzuri tu. Lazima uandae tolori la kuwapelekea wateja na kijana mmoja uwe naye. Na usimamie wewe mwenyewe usimpe mtu.Hivi Duka la kuuza maji jumla pamoja na vinywaji faida yake ikoje
Siku ukidakwa na mamlaka ndiyo utaelewa faida mara 4 au hasara mara 100. Kwani wewe biashara halali zisizo na usumbufu huzioni mkuu?πBangi inalipa baraaa nilishaaai kuchukua muzigo mmoja ukarudisha faida Mara nne