Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama upo serious inbox meTupe uzoefu wako na maelezo wa hii biashara mkuu
Share tu hapa mkuu.. au kama unauza hilo wazo niambie piakama upo serious inbox me
Tafuta hiyo sehemu nije niwekeze ila biashara ifanyike sio malipo mbususuMimi ningetafuta location nzuri afu nafungua banda la chips flani classic safii, naweka na soft drinks+fresh juices nk.
Kwahiyo tukitaja hizo idea zetu utatupa hizo hela mkuu?😜
Aah Mbususu nilipewa buree acha itumike kwa malipo hayo mkuu😀😀 njoo uwekeze tu mkuu unalipwa mbususu basi, afu hili jina umenifundisha wewe kuita hivo😀😀Tafuta hiyo sehemu nije niwekeze ila biashara ifanyike sio malipo mbususu
Haliuzwi mkuuShare tu hapa mkuu.. au kama unauza hilo wazo niambie pia
Mkwe nmekukumbukaAah Mbususu nilipewa buree acha itumike kwa malipo hayo mkuu[emoji3][emoji3] njoo uwekeze tu mkuu unalipwa mbususu basi, afu hili jina umenifundisha wewe kuita hivo[emoji3][emoji3]
Chukua wenye sifa za udereva na wenye uhitaji wa kaziMbinu zaku manage hawa dereva boda boda wa 4, maana kuna raia humu unakuta ana boda 1 tu lakini ni pasua kichwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bangi inalipa baraaa nilishaaai kuchukua muzigo mmoja ukarudisha faida Mara nne
Nimekukumbuka pia mkwe wangu, habari ya siku?mkwe nmekukumbuka
Boda boda zinalipa sana kama msimamizi/dereva ni ww mwenyewe! Kuna jamaa hapa anasomesha watoto wake shule za gharama, anakula vizuri na maisha safi kwa nguvu ya u boda boda wake tu na piki piki ake kabisa sio mkopo...Nunua boda boda itapendeza kama utaendesha mwenyewe
Amini nakwambia itakusongeza
Weka mikakat, kusanya hesabu kama vile unampelekea boss
Chomoa kiasi kidogo kwa matumiz kingine save
Piki piki used simshauri hata robo! Ni pasua kichwa mkuu,... Bora achukue mpya kabisa kama ana kijana wake au mdogo ake ampe aendeshe, Asimpe mtu wa mtaani aisee uaminifu 50/50 watambadilishia shock up na vingine mpaka vya kwenye engine atawekewa vikuu kuu then chombo kitaanza kumsumbua services za kila siku faida yote itaishia kwenye services ambazo zina mkono wa kijana na fundi.. Kama ana muda wa kutosha awe anaendesha mwenyewe kabisa kama boda boda itamlipa sana..Ml 4 inakutosha kabisa kununua pikipiki used 4, daily unaingiza 28k halafu zidisha Mara mwezi Mara mwaka.
Ah sasa ndio hapo mnapofeli malipo yakianza kuwa mbususu ujue biashara inaelekea kaburini soon. Ila kama kweli unaeneo la kukaangiza njoo inbobo maana hapo hapo kwenye vyepe ndio nitapatia mbususu nyingine maana kyepe warembo hawachomoi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aah Mbususu nilipewa buree acha itumike kwa malipo hayo mkuu😀😀 njoo uwekeze tu mkuu unalipwa mbususu basi, afu hili jina umenifundisha wewe kuita hivo😀😀
Salama unanitenga sanaNimekukumbuka pia mkwe wangu, habari ya siku?
Najikuta navutiwa tu na wewe sijui kwanini!Aah Mbususu nilipewa buree acha itumike kwa malipo hayo mkuu😀😀 njoo uwekeze tu mkuu unalipwa mbususu basi, afu hili jina umenifundisha wewe kuita hivo😀😀
Wow! Ahsante 😍, is it avatar ama ni nini kinakufanya uvutiwe mkuu?Najikuta navutiwa tu na wewe sijui kwanini!
Sasa mkwe anatengwaje tena jamani, au umepata katoto kengine huko eeh
Angejua wewe ndio yule mpenzi wake wa sasa hivi, wala asingetamka hayo.Wow! Ahsante [emoji7], is it avatar ama ni nini kinakufanya uvutiwe mkuu?
Mpandisha salaries umetokea wapi tena? Unamaanisha yule mpenzi wake wa zamani ambaye unasema ni mimi alikua ugly ama🤔. Kwahiyo unapinga suala la yeye kuvutiwa? 😜Angejua wewe ndio Yule mpenzi wake wa Sasa hivi, Wala asingetamka hayo.