financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hahaaa naamini sio mm tu ninaefaidika na mawazo ya wadau humuMimi ningetafuta location nzuri afu nafungua banda la chips flani classic safii, naweka na soft drinks+fresh juices nk.
Kwahiyo tukitaja hizo idea zetu utatupa hizo hela mkuu?[emoji12]
Ofcourse nafaidika pia, humu ni kisiwa cha maarifa💪Hahaaa naamini sio mm tu ninaefaidika na mawazo ya wadau humu
Faida n hadi mwisho wa mwezi sio hapo hapo unapomaliza mzigoMe ninalo moja maeneo ya tegeta...napiga vzr tu. Cha msingi uwe sehemu yenye msongamano...faida yake ni ndogo ndogo sana lakini mzigo kama unatoka kwa haraka kwa mwez unapata hela nzuri tu. Lazima uandae tolori la kuwapelekea wateja na kijana mmoja uwe naye. Na usimamie wewe mwenyewe usimpe mtu.
Tupe uzoefu wako na maelezo wa hii biashara mkuuFUNGUA BANDA LA KUCHEZESHA PLAYSTATION
Mkuu hii ni biashara unauzoefu/ ujuzi nayo au unaipenda tu?Mimi ningetafuta location nzuri afu nafungua banda la chips flani classic safii, naweka na soft drinks+fresh juices nk.
Kwahiyo tukitaja hizo idea zetu utatupa hizo hela mkuu?😜
Kiukweli ni biashara ambayo naipenda na kila nikifikiria naona inanijia kichwani, sina ujuzi nayo mkuu🤔Mkuu hii ni biashara unauzoefu/ ujuzi nayo au unaipenda tu?
Kuwa makini na matapeliPoa kiongozi, I will
Unaenda kupigwa huko,ogopa sana za kushirikiana na mtu halafu mgeni kwenye hiyo biasharaPoa kiongozi, I will
Piki piki used pasua kichwa,usithubut mkuuMl 4 inakutosha kabisa kununua pikipiki used 4, daily unaingiza 28k halafu zidisha Mara mwezi Mara mwaka.
Hapa inabidi kumpata mjuzi na mwenye uzoefu kabisa... anakupa ABC... mwanzo mwishoKiukweli ni biashara ambayo naipenda na kila nikifikiria naona inanijia kichwani, sina ujuzi nayo mkuu🤔
Mkuu kuwekeza 4mil kupata Tshs.28,000/siku naona kama ni ndogo? Gharama ya service kwa kila pikipiki ukiondoa utabakia na kiasi gani?Ml 4 inakutosha kabisa kununua pikipiki used 4, daily unaingiza 28k halafu zidisha Mara mwezi Mara mwaka.
Ni kubwa kama anapiga mahesabu ya kuanzia miezi sita.Mkuu kuwekeza 4mil kupata Tshs.28,000/siku naona kama ni ndogo? Gharama ya service kwa kila pikipiki ukiondoa utabakia na kiasi gani?
Mbinu zaku manage hawa dereva boda boda wa 4, maana kuna raia humu unakuta ana boda 1 tu lakini ni pasua kichwa.Ni kubwa kama anapiga mahesabu ya kuanzia miezi sita