Naomba wazo la biashara ndogo ya mtaji Milioni moja

Naomba wazo la biashara ndogo ya mtaji Milioni moja

ANSILA

Member
Joined
Mar 12, 2011
Posts
13
Reaction score
10
Ndugu hamjambo,

Naombeni mchango wa mawazo tafadhali.

Nina milioni moja.

Pia nina fremu iko eneo flani hivi uswahilini ktk makazi ya watu.

Ni biashara gani naweza fungua uswahilini kwa mtaji huo na inilipe?

Msaada tafadhali
 
Biashara ya duka la rejareja la bidhaa za nyumbani..
 
Uza urembo waa akina dada iwe rasta, rangi za kucha mafuta wa pendayo wa dada na kila kitu wanacho penda hakikisha wana pata kwako.

Kwa mtaji huo kaduka kata shonana bidhaa na hela ita rudi fasta lakini pia hakikisha una uza bei ya chini sana, kubali kupata faida ndogo ili mzigo uwe una isha fasta una rudia tena kujumua.

Hapo uta uza sana na faida uta iona usikubali kuuza kwa bei juu mzigo uta chelewa kuisha mzunguko wa biashara yako utakua mdogo hauta ona faida.
 
Back
Top Bottom