Naombea Simba ipangwe na Experence de Tunis

Naombea Simba ipangwe na Experence de Tunis

Fuatilia game zo hao Esperance, sio timu ya kutisha kabisa, Simba inaweza kuwafanya kitu kibaya sana.
 
Kituo kinachofuata ni Tunisia.
 
Nikili kwamba sikuwa mfatiliaji wa hii michuano toka nimezaliwa ila nimeanza mwaka juzi. Ile fainali ya mwaka jana wakati exprence de tunis wanapindua matokeo kibabe ndo ilinishawishi kuwa mpenzi mkubwa wa hii michuano.

Naona simba nao mwaka huu wameniongezea utamu wakuendelea kufatilia hii michuano. Nakwakweli wapenzi wa simba mnisamee maana mimi ni yanga damu ila naona mnaomba robo fainali mungu awaepushe na hii timu lakini mimi naomba mungu awape hii timu ili na mimi nitimize ndoto yakuwaona live awajamaa bila kujali matokeo.

Maana mnaweza pangwa na mamelondi mkatolewa bule kabla ya kukutana na awa washenzi.Mungu nakuomba unipe tumaini la moyo wangu.

Esperance wafanye yale mambo yao kama ya baselona wampige uyu anaetumia ndagu ata goli 6 ivi.
 
Azam alishawahi kuwafunga 2-1 pale Chamazi japo ugenini Azam walikubali kipigo cha 3-1 hivyo walitolewa...but kwa ubora wa sasa wa Simba pamoja na hamasa kubwa ya mashabiki Pale taifa sioni sababu ya kuogopa timu yoyote..kikubwa ni kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu ugenini...
 
Back
Top Bottom