Naomben ushauri.

Naomben ushauri.

huyu ndio wale wakuvaa mashati ya kung'aa yenye maua kibao. Akitembee nyuki wanamfata.
Ameniboa sana,
yaani huyu angekuwa karibu,.....aaaagggr!
Nashindwa kumalizia, hasira zimezidi.
sasa huu ni ushauri au?
hebu njoo unichune bana nimeshinda ka lotto ka laki tano, ukichelewa namalizana na lizzy.
 
kwamba mabint awawez kuvumilia au?
yatakushnda nyooooooooooooo!!!!!

Labda kama jamaa alifungwa kwenye magereza ya marekani na nchi zingine za duniani!
Ila magereza ya Tanzania?
Alafu utoke tu unaenda kumparamia mtoto wa watu katoka saloon kapendeza?mh napiga picha hiyo movie itakuwaje
 
Labda kama jamaa alifungwa kwenye magereza ya marekani na nchi zingine za duniani!
Ila magereza ya Tanzania?
Alafu utoke tu unaenda kumparamia mtoto wa watu katoka saloon kapendeza?mh napiga picha hiyo movie itakuwaje



ok ok nimekupata
 
sasa huu ni ushauri au?
hebu njoo unichune bana nimeshinda ka lotto ka laki tano, ukichelewa namalizana na lizzy.




mmh usiende mwaya...anajidai kuna laki 5 kumbe ukienda anaend akukupga mznga wa lak moja

usiende shost...utalia bure
 
Hapo chacha! Rose 2fute nae urafik. Mi mwnyewe nmeahrisha ndoa then yeye ndo anamgongea thanx! Huyu hacra ztakuwa zmerud!
chakumpigia thax kiko wap???????????
hasira zmerud tena?
 
mmh usiende mwaya...anajidai kuna laki 5 kumbe ukienda anaend akukupga mznga wa lak moja

usiende shost...utalia bure
kameshakuja tayari! halaf kamekuja na mapozi! kanaomba hela kwa kiingereza.
 
kameshakuja tayari! halaf kamekuja na mapozi! kanaomba hela kwa kiingereza.



ehh km kamekuomba kwa kingereza basi mpe dola uyo
tsh azimfai mpe DOLAR KABISAAAAAAAAAAAAA......thbtsha uanaume wako
 
Hapo chacha! Rose 2fute nae urafik. Mi mwnyewe nmeahrisha ndoa then yeye ndo anamgongea thanx! Huyu hacra ztakuwa zmerud!

Hahaha,nop nimefurahishwa kwamba anajiita msichana while yuko 28yrz na mtoto juu au usichana unaisha lini?
 
Km Jk mwnyewe ana zaid ya 50 na anaitw kijana, iweje yeye acjiite mcchana? Au kwa vle Jk ni Rais au?
Kujiita msichana afu yuko 28 na anategemea mtoto dakika chache zijazo
 
Kujiita msichana afu yuko 28 na anategemea mtoto dakika chache zijazo



g9t kaka
mwambie klokwn nalala mie
c u ksho
nawapenda wooooooooooooooooooooooooooooooote dunia yote
 
ehh km kamekuomba kwa kingereza basi mpe dola uyo
tsh azimfai mpe DOLAR KABISAAAAAAAAAAAAA......thbtsha uanaume wako
halaf kana bahati kweli lakini samtaimu kananizingua, nataka kukaanzishia sredi. yaani samtaimu hata ka sigara sivuti kwa kummiss! aargh husninyo utaniuwa halaf mazikoni usihuzurie
 
Hivi kuna ushauri mmetoa kweli nyie ?




inategemea unataka kuona nin

ukitaka kuona HATUJATOA USHAUR UTAONA IVO UKITAKA KUONA TUMETOA USHAURI BAS UTAONA MCHANGO WETU


PBM IS .....U CANT C WAT U DNT WAT TO C.....byeee
 
Km Jk mwnyewe ana zaid ya 50 na anaitw kijana, iweje yeye acjiite mcchana? Au kwa vle Jk ni Rais au?

Me nahisi wasichana ni wale watoto wa primary?
Huyu alipaswa kujiita binti kwa sasa,...
 
Back
Top Bottom