Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polee sana MkuuUmenikumbushaa mbalii,Demu sikumuuaga mapema kwambaa naondoka eneo husika sitarudi tenaa. Nikamfuuata jioni weee alipanikiii,nikamwambia twende geto tukalalee kwangu kesho nasepa...hahahaa akakubali akanibebea zawadi shuka leupeee🤣🤣akanipatia.
Balaaa nikajaaa asubuhi mtoto hataki niondoke,huku gari linataka kuondokaa mdaa umefika saa 11:30 gari saa 12 linaamsha,hapo kashika ufunguo nisitokee huku sijaoga mashinee inaunatoo wa asali tupu.
Nikampigia Kaka ajee amplease,akajaa mtoto hafunguii dadekii nilimind kinoma nikamzaba kofiii,Dah akaanza liaa .Balaa likageukia kwenye shart langu mojaa hivii ananiambia nataka uniachie ukumbushooo...uwiiii nilipambana wapi,mpaka nikaamua niache Mapenzi iwe vitaaa ya kumnyang'anya ndipo nikashinda ila zawadi yake nilichukua.Nikaondoka nikaachwa na gari nikapanda la saa2.
Mpaka Leo hua namkumbuka sana Rose wangu hakika alinipendaa Sanaa ila wasiwasi Akili sikutaka mwachia nguo kabisa kwa usalama wangu.Mungu ampe afya njema popote alipoooo.
Apambane na hali yake 😂😂😂😂
Mwanaume kujiamini, itume tu maana hela zinatafutwa😂
nishabadilika sikuhizi napenda mambo yaukweli ukweli hapo vipi..?😂😂😂😂kukubali hapo ndio sijui, unajijua mwenyewe ulivyo muongo muongo
Mara ya mwisho kumtia ilikuwa lini?.....na ulimtia bao ngapi>>>Habar zenu wakuu,poleen na Mvua na Baridi.
Naomben Ushauri hapa ;Kuna Dem Nmemuacha Ila Kakatalia Nguo yangu anadai kuwa Ety Ni Kumbukumbu kwake.
Mzeya na wewe ujenge tabia ya kubaki nanchupi za mwanamke unayemgegeda....wajinga hawa wanaturoga sana ndio maana mie nabaki nanchupi zao nami nae da kilingeni kwa Mshana Jr
Jiandae kulogwa hapo
Inategemea na nguo gani. Kama ni jezi huwa hazirudishwi. Ndio maana unakuta tuna jezi za timu zote za england , spain na ujerumani😂😂. Ila kama ni boxa kitampata kitu😂
Mbona mie nazivaaga from tym to time. Masharti ya mganga hayo.Kukaa na chupi za wanawake utajikuta siku umeamka na haraka unaivaa bila kujua. Vile mnavaa suruali kiunoni lesi lesi za chupi zinaonekana juu ya suruali..... wana watajua ushalefti grupu kumbe unazikusanya nawe ulipize kuwaroga aahahahahaaa.
Alikuwa anatoa harufu gani?? 🙂Mwez uliopita
Bwana alitoa na ex anatwaaHabar zenu wakuu,poleen na Mvua na Baridi.
Naomben Ushauri hapa ;Kuna Dem Nmemuacha Ila Kakatalia Nguo yangu anadai kuwa Ety Ni Kumbukumbu kwake.
Huyo bado unaye.......hangaika naeYa kawaida to Mkuu
Mbona mie nazivaaga from tym to time. Masharti ya mganga hayo.
Mwangaluka mayoo.