Naombeni CV ya Miss Tanzania 2016

Naombeni CV ya Miss Tanzania 2016

TAARIFA KWA UMMA

Napenda kuujulisha Umma yafuatayo;

1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni.

2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu.

3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo.

4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya "Character assassination" lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa.

Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia.

Ahsanteni.

Charles William
Kaimu Ofisa Habari wake.
0716719589 (wilflow101@gmail.com).

Bora mmetujuza wakuu.
Nilianza kutatizika mapema kuhusu elimu yake.Tumuunge mkono miss Tz, amestahili tunzo.
 
dah hii nchi ni ya matakataka kabisa yn, yn figisu za waziwazi.
 
TAARIFA KWA UMMA

Napenda kuujulisha Umma yafuatayo;

1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni.

2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu.

3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo.

4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya "Character assassination" lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa.

Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia.

Ahsanteni.

Charles William
Kaimu Ofisa Habari wake.
0716719589 (wilflow101@gmail.com).

CnP
Hapo kwenye namba 3...stashahada (cheti) [emoji56] [emoji56] [emoji56]
 
Jf siku hizi imekuwa inaongoza kwa kutumika kuchafua watu ...nimemsikia msemaji wa huyu miss tanzania anaseama kuwa huyo miss hajasoma na hakuwai kusoma degree.....
 
Ila sura ya huyu binti na umri wake ni ardhi na mbingu havifanani aseme ukweli tu

Kuhusu elimu siweki neno maana kunakureset pia
 
Kumekuwepo na habari nyingi kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii kwamba miss tz 2016 ana miaka kumi na nane na anashahada ya sheria. Anaejua ukweli atusaidie

cf9ce450a53c3da96b102c3fbe6b1f39.jpg


Je haya yanayosemwa ni ya kweli?
JINA😀iana Edward Lukumai
UMRI:Miaka 18
ELIMU:Shahada(degree)

Hii ina maana;

Alianza Chuo Kikuu akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ingawa sio mshabiki wa haya mambo napenda nchukue hii nafasi kuwapongeza Wazazi wote kama wazazi wa Diana ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na miaka miwili...

miss Tanzania sio miss wakispot spot
Hivi ni yeye ndiye aliyesema kuwa ana degree ya sheria?

Au ni watu tu wanatunga maneno?
 
Sio sura ya miaka 18 hiyo, sura inaonyesha ishapitia mipini na mikunjo ya kila aina eti ndio 18, sasa akifika 30 si atakua bibi kizee
Wewe ni msukuma bila shaka

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jaman wana JF naomben mnisaidie vigezo vya kuingia kugombania miss TZ mana kama anasema amemaliza form 4 mwaka jana sasa lundenga haoni kama ameweka vigezo ambavyo vitasababisha mtu aache masomo mana ikitokea mtu akichaguliwa advance level au chuo inakuaje.
M nadhani kama ni kwel amemaliza form 4 mwaka jana basi inabidi waongeze vigezo vya kuingia kwenye mashindano iwe lazima uwe na degree ya kwanza na kuendelea
 
Jf siku hizi imekuwa inaongoza kwa kutumika kuchafua watu ...nimemsikia msemaji wa huyu miss tanzania anaseama kuwa huyo miss hajasoma na hakuwai kusoma degree.....
Ni kweli kabisa wanamtungia maneno ambayo hakuyasema.
 
Back
Top Bottom