Nina kama 5 yrs tangu nimeanza kupata asthma attack as we speak nipo macho. Kipindi cha baridi kikianza ninapata shida kweli.
Naombeni Dawa jamani Sio ya kurithi hamna mtu kwetu anayo
Nilitumia mkaratus kujifukisha kama wiki hivi na kumeza dawa mentolukaat sijui kwa siku 10 na pia kuna dawa ya kuchemsha naendelea nayo
Tafuta majani yanaitwa majani ya asthma.Na mimi pia nina pumu ila yangu ni ya kurithi. Inanitesa sana. Msaada kwa mtu anaejua dawa
TUmia hayo chemsha kunywa mls100 asubuhi mchana na jioni you will not forget me in your lifeUmeshawqhi kutumia majani ya asthma
Aghakan ya wap kaka dar au morogoro au aghakan tawi lolotePole sana, Pumu huwa ni ya kuwahi, nenda Agha khan nilitibiwa hapo na nikapona kabisa, watakuanzishia quick relief na badae watakupa controller medicines. Kama upo kwenye acute watakupa dawa zote kwa pamoja quick and control medics.
Utatibiwa inategemea ipo katika stage gani, utapona nenda Agha Khan mkuu.
Pia kwa faida ya wengine Pumu inayoanza tiba yake ni mazoezi aerobic hasa kukimbia usiache ikomae.
Mkuu pole kwa maradhi yako ya Pumu nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako na upate kupona uguwa pole.Nina kama 5 yrs tangu nimeanza kupata asthma attack as we speak nipo macho. Kipindi cha baridi kikianza ninapata shida kweli.
Naombeni Dawa jamani Sio ya kurithi hamna mtu kwetu anayo