Naombeni Dawa ya asthma/pumu

Naombeni Dawa ya asthma/pumu

Ila kuumwa 🙌🙌


Ukiambiwa hata ule kinyesi cha shoga ili upone, unakula.

Daah..

Pole sana.
 
Umeshawqhi kutumia majani ya asthma
 

Attachments

  • 1000051969.jpg
    1000051969.jpg
    399.5 KB · Views: 5
Pole sana, Pumu huwa ni ya kuwahi, nenda Agha khan nilitibiwa hapo na nikapona kabisa, watakuanzishia quick relief na badae watakupa controller medicines. Kama upo kwenye acute watakupa dawa zote kwa pamoja quick and control medics.

Utatibiwa inategemea ipo katika stage gani, utapona nenda Agha Khan mkuu.

Pia kwa faida ya wengine Pumu inayoanza tiba yake ni mazoezi aerobic hasa kukimbia usiache ikomae.
Aghakan ya wap kaka dar au morogoro au aghakan tawi lolote
 
Nina kama 5 yrs tangu nimeanza kupata asthma attack as we speak nipo macho. Kipindi cha baridi kikianza ninapata shida kweli.

Naombeni Dawa jamani Sio ya kurithi hamna mtu kwetu anayo
Mkuu pole kwa maradhi yako ya Pumu nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako na upate kupona uguwa pole.
 
Back
Top Bottom