Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Menya,katakata meza na maji Moto kiasiNavifanyaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Menya,katakata meza na maji Moto kiasiNavifanyaje
HerbalistUnatakiwa uende ukiwa kwenye attack au muda wowote kupata hiyo Tina,maana Kwa ninavyohisi Kesho asubuh nikachome sindano so nikisema niende aghakan baada ya sindano kitakua kimes
naomba mawasiliano
Ila mtaalam maana yake mganga au herbalist?
Poa. Kila la kheri.Nishatumisha majani ya mkaratusi nitakuja na jib
Niite pembeni hukoNaomba plz
Ndo nayachemsha hapo nichekshe kama mda ganiPoa. Kila la kheri.
Idadi ya punje ngapi na kwa mda ganiMenya,katakata meza na maji Moto kiasi
Asante keaf of life ikoje?Masai, siku nyingine ikikushika tumia kitunguu maji kamua juice yake kunywa au kama hapo karibu kuna jani la leaf of life litafune na mwenyeezi mungu akipenda utapata nafuu, nakuombea quick recovery
Jioni unapotaka kukaribisha usingizi....vipande viwili vikatekateIdadi ya punje ngapi na kwa mda gani
Nimeshakula sasa hivi🥹Jioni unapotaka kukaribisha usingizi....vipande viwili vikatekate
Pole sana kwa ushauri mtafute mtaalamu mwenye experience na athma hospital upate matibabu.Nina kama 5 yrs tangu nimeanza kupata asthma attack as we speak nipo macho. Kipindi cha baridi kikianza ninapata shida kweli.
Naombeni Dawa jamani Sio ya kurithi hamna mtu kwetu anayo
Asante sanaPole sana kwa ushauri mtafute mtaalamu mwenye experience na athma hospital upate matibabu.
Kwa tiba za nyumbani tumia vitunguu swaumu na tangawizi uwekee kwa maji moto unywe, pia binzari ile mbichi ukichanganya kidogo sana kwenye asali vijiko 2 unaweza ukawa unatumia kila siku usiku kabla ya kulala inasaidia pia. Pia hiyo ya mkaratusi tumia itakusaidia sana.
ANGALIZO: matumizi ya vitunguu saum huwa yanasababisha pia presha kushuka hivyo si vyema kutumia kama una tatizo la presha ya kushuka, pia hiyo tumeric usiitumie masaa machache kabla ya oparesheni yoyote kutokana na kazi yake ya kurahisisha flow ya damu.
Hakuna shida cuteNimeshakula sasa hivi🥹
Jani flani hivi zitozito, Just google leaf of life utaliona linapatikana sana mitaaniAsante keaf of life ikoje?
No mi huwa natafuna tu.Vitunguu saumu,vitunguu maji na karafuu unaichemsha?
Unaambiwa supu ya nungunungu ni tamu balaa😂😂🙌🏽🙌🏽Hizo dawa sasa,
Na miba yake je?? Maandalizi? Labda awe kaandaliwa tayariUnaambiwa supu ya nungunungu ni tamu balaa😂😂🙌🏽🙌🏽
AsanteNo mi huwa natafuna tu.
Hii inaweza patikana kwa kweli