Naombeni elimu juu ya uwekezaji wa Bondi

Naombeni elimu juu ya uwekezaji wa Bondi

Nimekuwa nikisikiasikia kuwa benki ya NMB inauza BONDI. Na watu hununua Bondi hizo. Naombeni kueleweshwa juu ya biashara hiyo kwa mwenye uelewa.

Asante.

Taja kiasi ndio ushauliwe. Kuna mdau mmoja tulitoa ushauli hevy kumbe ana ka laki sita
 
Back
Top Bottom