mfumbilwa Member Joined Mar 16, 2012 Posts 13 Reaction score 20 Jul 1, 2022 #1 Nimekuwa nikisikiasikia kuwa benki ya NMB inauza BONDI. Na watu hununua Bondi hizo. Naombeni kueleweshwa juu ya biashara hiyo kwa mwenye uelewa. Asante.
Nimekuwa nikisikiasikia kuwa benki ya NMB inauza BONDI. Na watu hununua Bondi hizo. Naombeni kueleweshwa juu ya biashara hiyo kwa mwenye uelewa. Asante.
kilambimkwidu JF-Expert Member Joined Jul 21, 2017 Posts 6,097 Reaction score 7,199 Jul 1, 2022 #3 Sema kwanza unayo sh.ngap vinginevyo fuga kuku
Cobrahypnosis JF-Expert Member Joined Jul 28, 2021 Posts 362 Reaction score 676 Jul 1, 2022 #4 mfumbilwa said: Nimekuwa nikisikiasikia kuwa benki ya NMB inauza BONDI. Na watu hununua Bondi hizo. Naombeni kueleweshwa juu ya biashara hiyo kwa mwenye uelewa. Asante. Click to expand... Taja kiasi ndio ushauliwe. Kuna mdau mmoja tulitoa ushauli hevy kumbe ana ka laki sita
mfumbilwa said: Nimekuwa nikisikiasikia kuwa benki ya NMB inauza BONDI. Na watu hununua Bondi hizo. Naombeni kueleweshwa juu ya biashara hiyo kwa mwenye uelewa. Asante. Click to expand... Taja kiasi ndio ushauliwe. Kuna mdau mmoja tulitoa ushauli hevy kumbe ana ka laki sita
mfumbilwa Member Joined Mar 16, 2012 Posts 13 Reaction score 20 Jul 2, 2022 Thread starter #5 Kama milioni 10 hivi
Kidagaa kimemwozea JF-Expert Member Joined Jul 13, 2018 Posts 3,680 Reaction score 6,554 Nov 3, 2023 #6 mfumbilwa said: Kama milioni 10 hivi Click to expand... Fuga kuku