Naombeni feedback kwa mliowahi kutumia haya mafuta

Naombeni feedback kwa mliowahi kutumia haya mafuta

Kuna dada mmoja namjua anaya advertise tuu uso katakataa huyoo tizama miguu sasaa Lord js look at the feet chaaa
Ukitaka jua rangi halisi ya mtu tazama miguuu
Asietumia mkorogo miguu inafanana na mwili au imeng'aa zaidi
Anaetumia mkorogo miguu imefifia kuliko uso
 
Kuna dada mmoja namjua anaya advertise tuu uso katakataa huyoo tizama miguu sasaa Lord js look at the feet chaaa
Ukitaka jua rangi halisi ya mtu tazama miguuu
Asietumia mkorogo miguu inafanana na mwili au imeng'aa zaidi
Anaetumia mkorogo miguu imefifia kuliko uso
Ahaaa kutumia mkorogo mi naonaga ni ujinga uliopitiliza
 
Write your reply... kwa aliepata chuo cha ustawi ngazi ya cheti na anahitaj chumba karibu na chuo cha ustawi wa jamii bamaga
 
Kuna dada mmoja namjua anaya advertise tuu uso katakataa huyoo tizama miguu sasaa Lord js look at the feet chaaa
Ukitaka jua rangi halisi ya mtu tazama miguuu
Asietumia mkorogo miguu inafanana na mwili au imeng'aa zaidi
Anaetumia mkorogo miguu imefifia kuliko uso
Oooohw.... Yani nilikua nishachukua namba nipate iyo kitu ya boutoer sijui 😆😆😆. Nilivyo mweusi sijui ningekua mgeni wa nani
 
Back
Top Bottom