Naombeni jina la hii engine

Naombeni jina la hii engine

+1
Kuna mdau anasema hiyo Ni 1hz yenye intercooler ndo kichwa kinaniuma sijawahi ona turbocharged 1hz

Sent
Hiyo ni 1VD-FTE, na ukikuta 1hd kwenye mkonga nyingi ni zile za kuunga ambazo watu wanachukua body Malawi na kuivisha injini ya 1hd wazee wa Mbeya ndio zao unaikuta macho ya panzi namba A ina jiko la 1hd-fte.

Ila kuna Land Cruiser zenye 1HZ-Turbochaged ambazo hufanyiwa conversion na wa Australia na watu wa Namibia wanazo 1HZ-T ila zime kuwafanyiwa mabadiliko
 
Huu mzigo umetokea kuwa maarufu sana
Huu mzigo una balaa ni multipurpose. Ukiamua utumie kistaarabu unaacha muffler ya kawaida, ukitaka kelele unaweka muffler kubwa(After market muffler) yani muungurumo wake si wakitoto.

Subaru akae pembeni hiyo 1vd-fte moto wake si mchezo,hii injini unaweza ukajihisi unaendesha Freightliner Argosy au Peterbit inavyokohoa.
 
Huu mzigo una balaa ni multipurpose. Ukiamua utumie kistaarabu unaacha muffler ya kawaida, ukitaka kelele unaweka muffler kubwa(After market muffler) yani muungurumo wake si wakitoto.

Subaru akae pembeni hiyo 1vd-fte moto wake si mchezo,hii injini unaweza ukajihisi unaendesha Freightliner Argosy au Peterbit inavyokohoa.
Hapa Mjapani alicheza kweli
 
Back
Top Bottom