Naombeni kazi/ kibarua

Naombeni kazi/ kibarua

Babasukh

Member
Joined
Jan 22, 2018
Posts
5
Reaction score
4
Habari za Mwezi February wana-JF.!!

Ndugu yenu Nina changamoto ya Kodi, chakula (kwa mtoto na Ndugu zangu tegemezi na kwangu binafsi).

Naombeni mwenye kuweza kunisaidia kupata kibarua cha namna yoyote Ile; Muhimu kiendane na mapenzi ya MUNGU.

Nitashukuru nikipata Msaada .
✅Nina elimu ya kidato cha sita EGM (Sio kipaumbele kwangu)
✅Naishi Dar es salaam

Mbarikiwe Taifa la Mungu🙏
 
Habari za wakati huu WANAJF!

Kijana mwenzenu nna majukumu ya mke na watoto, Sina kazi ya kuniingizia kipato.

Nina elimu ya chuo (sio kigezo), naishi DSM.

Naombeni mwenye mchongo (day work) / kazi/ kibarua cha kulipwa kwa siku ama vyoyote aniunganishe ili niweze kukimu mahitaji ya Familia.

Naweza kufanya kazi yoyote halali kwa Mwenyezi Mungu na Sheria Za Nchi.

Asanteni
Kila la heri mpambanaji.
 
Back
Top Bottom