Doctor MD
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 209
- 249
Habari zenu ndugu zangu wa Wana JF,
Mimi ni kijana mwenye taaluma ya utabibu na Nina uwezo wa kufanya kazi hyo kwa miaka 2 Sasa. Nina uhitaji wa Ajira hyo ndani ya jiji la Dar es salaam Mana ndipo makaz yang kwa Sasa.
Kama waweza kunisaidia hata connection pia nitashukuru Sana. Hivo nahtaji msaada wemu huo ili niweze nami kuuendesha maisha
Naomba ni inbox kwa mawasliano zaidi
Email yang ni akimudevid@gmail.com
Mimi ni kijana mwenye taaluma ya utabibu na Nina uwezo wa kufanya kazi hyo kwa miaka 2 Sasa. Nina uhitaji wa Ajira hyo ndani ya jiji la Dar es salaam Mana ndipo makaz yang kwa Sasa.
Kama waweza kunisaidia hata connection pia nitashukuru Sana. Hivo nahtaji msaada wemu huo ili niweze nami kuuendesha maisha
Naomba ni inbox kwa mawasliano zaidi
Email yang ni akimudevid@gmail.com