Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Kila la kheri kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri kwake
vile vya umeme hata kusajiriwa havijasajiriwa vitakuwa na bima?Iivi bile vidude vina bima kweli? Maana unaweza hata ukagongwa na boda boda mwenzako, wewe umepona chenyewe kimesusa kimeingia kwenye gari chini. Ndo mchezo umeisha
Kariakoomkuu wapi huko vya umeme wanuza 1.5 m?
Ata pale ofisi zao Mwenge bei ndio iyo, range ya 60 ila ukitaka 80km 1.8mmkuu wapi huko vya umeme wanuza 1.5 m?
mkuu nilikosea kwenye ujumbe wangu, lkn nilikuwa nahitaji kujua bei ya vile vya mafuta nimchukulie dogo..mdau alisema 1.5m nikataka kujua ni wp bei hiyo inatembeaAta pale ofisi zao Mwenge bei ndio iyo, range ya 60 ila ukitaka 80km 1.8m
Okay za mafuta, kwa 1.5m probably ni used.mkuu nilikosea kwenye ujumbe wangu, lkn nilikuwa nahitaji kujua bei ya vile vya mafuta nimchukulie dogo..mdau alisema 1.5m nikataka kujua ni wp bei hiyo inatembea
Au sio njoo nikununue weweOk nunua inauyotumia uji wa Muhogo kama ile ya Lodi Lofa....