Naombeni kufahamu tatizo la kuumwa na mbavu

Juice Man

New Member
Joined
Apr 20, 2014
Posts
3
Reaction score
0
Jaman naombeni kufahamu tatizo la kuumwa na mbavu mana huu mwaka wa 15 mbavu zaniuma. Hosptal walinipga Xry hakuna tatizo wakawa wananipa pain killer tu miaka inaenda naumwa bado hiki ni nn cjui
 
Kiukweli nalala pazuri tu miaka yote kenye godoro japo cwezi kutaja makampun ya magodoro hapa sitangazi biashara. Ila bado tu mbavu zaniuma Prezdaa Shaco
 
Last edited by a moderator:
pole sana tafuta hospitali nzuri zaidi usichoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…