Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Nyamwi yupo kwenye honeymoon anauchezea atapata wapi muda wa kufungua ID mpya?Sio nyamwi huyu anatupima? ๐น๐น๐น
Weeeh! Achana na kitambi changu๐คฃNiruhusu nije pm tubadilishane tupicha na ww unioneshe kitambi chako
Ubaya ni kua wananogewa na id's za ke coz wanakua quoted mara nyingi, sasa katika kuzijibu ndo unakuta mwamba kasahau codes karopoka kiume kabisaaa, ukiunganisha ule mwandiko unajua kabisa huyu Vishu Mtata kabisa huyu๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Unasomaa, unajisemea tu "huu mwandiko sio wa mwanamke kabisa"!
Uwe na kitambi, mweupe & ufupi wa kipare kanakoambata na utege flanWeeeh! Achana na kitambi changu๐คฃ
Marahaba.Hi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Coca, kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia, nakumbuka alitamka sijui "ku mdidi huko", sikupata maana mpaka leo hii, alikuwa mzee wa huko Songea. Sasa wewe ni wa huko, yana maana gani hayo maneno?๐Ulikutwa na kipii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Gifted girl naomba u like comment yanguVishu Mtata usibadili profile picture yako inanifanya nifurahi tu yan
Gifted girl pleaseGifted girl naomba u like comment yangu
Nikijipata nitabadili ndgu ila hii nitakuachia wewe.Vishu Mtata usibadili profile picture yako inanifanya nifurahi tu yan
Itakuwa gudi sanaNikijipata nitabadili ndgu ila hii nitakuachia wewe.
UsijaliNawashukuru nyote kunipokea uzurii [emoji1431]
Jichanganye ujuteUlishawahi kuwa na I'd zamani?
Maana mpaka ku multiple quote unajua???
Kwamba keshaolewa na sasa kaja na ID mpya?Sio nyamwi huyu anatupima? ๐น๐น๐น
AhsanteKaribu sana JamiiForums...